Maisha yamepanda bei

Na sizan wanampango wakujirekebisha hali ni tete zaidi ya tuhisivo jana nlinunua vocha ya sim 6000 tsh wakatoa VAT 800 na zaid ikabaki elf tano sasa najiuliza hata kama ni kodi wanataka kweli ni kwa ukubwa huu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…