JAan dushman Member Joined Mar 30, 2023 Posts 87 Reaction score 130 Dec 17, 2023 #101 Daah pole sana jesh itakuaj apo?
karonga JF-Expert Member Joined Mar 19, 2017 Posts 776 Reaction score 1,277 Dec 18, 2023 #102 Mama Mwana said: mie niliyabomoa muda tu Click to expand... Usinifanyie hivyo my dear
Mama Mwana JF-Expert Member Joined Jun 6, 2023 Posts 2,510 Reaction score 8,015 Dec 18, 2023 #103 karonga said: Usinifanyie hivyo my dear Click to expand... alamsiq
Jchris14 JF-Expert Member Joined Aug 15, 2019 Posts 1,150 Reaction score 2,675 Dec 20, 2023 #104 Mama Mwana said: sasa si hiyo hela ya bill tuma kwenye namba hii tu Click to expand... Nikifanya hivyo nitakuwa nimefanya kinyume na protocols zangu mkuu.
Mama Mwana said: sasa si hiyo hela ya bill tuma kwenye namba hii tu Click to expand... Nikifanya hivyo nitakuwa nimefanya kinyume na protocols zangu mkuu.
Jchris14 JF-Expert Member Joined Aug 15, 2019 Posts 1,150 Reaction score 2,675 Dec 20, 2023 #105 Excel said: we mlishe tu ila 'mzigo' nakula mimi.. lol Click to expand... Wee kula tu uwezavyo maana hakuna aliyewahi tunukiwa medali kwa sababu ya kupambana na hilo dude [emoji16]
Excel said: we mlishe tu ila 'mzigo' nakula mimi.. lol Click to expand... Wee kula tu uwezavyo maana hakuna aliyewahi tunukiwa medali kwa sababu ya kupambana na hilo dude [emoji16]
M mimiamadiwenani JF-Expert Member Joined Mar 9, 2022 Posts 5,749 Reaction score 7,856 Dec 20, 2023 #106 Excel said: una simu ya laki 3 na hela ya Mb unapata mara kwa mara halafu unalia maisha magumu.. unalia kuachwa na demu wako.. unalia kuachwa na marafiki walevi.. Ila Dar es salaam kuna vimbwanga sana Click to expand... Hili ni lofa tu kama malofa wengine. Sipotezi ushauri wangu hapa.
Excel said: una simu ya laki 3 na hela ya Mb unapata mara kwa mara halafu unalia maisha magumu.. unalia kuachwa na demu wako.. unalia kuachwa na marafiki walevi.. Ila Dar es salaam kuna vimbwanga sana Click to expand... Hili ni lofa tu kama malofa wengine. Sipotezi ushauri wangu hapa.
M mimiamadiwenani JF-Expert Member Joined Mar 9, 2022 Posts 5,749 Reaction score 7,856 Dec 20, 2023 #107 passion_amo1 said: Akaaaa! Usituingize kwenye msoto wako, vijana Tuma maisha mazuri labda wewe. [emoji23][emoji23][emoji23]Natania mkuu ILA pole sana cha muhimu kupambana. Click to expand... Ukweli uliowasilishwa kupitia lugha ya utani[emoji23]
passion_amo1 said: Akaaaa! Usituingize kwenye msoto wako, vijana Tuma maisha mazuri labda wewe. [emoji23][emoji23][emoji23]Natania mkuu ILA pole sana cha muhimu kupambana. Click to expand... Ukweli uliowasilishwa kupitia lugha ya utani[emoji23]
passion_amo1 JF-Expert Member Joined Dec 3, 2023 Posts 1,828 Reaction score 3,936 Dec 20, 2023 #108 mimiamadiwenani said: Ukweli uliowasilishwa kupitia lugha ya utani[emoji23] Click to expand... Nimetania mkuu.😂😂
mimiamadiwenani said: Ukweli uliowasilishwa kupitia lugha ya utani[emoji23] Click to expand... Nimetania mkuu.😂😂