Maisha yamenichapa haswa

Maisha yamenichapa haswa

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
540
Reaction score
2,226
Wakuu, nahisi naongea peke yangu au nacheka peke yangu ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.

Kazi niliyokuwa nayo sina tena, marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo tena, simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.

Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi saa 12 narudi usiku sana naogopa vidole mtaani.

Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu, bado Kodi ya nyumba.

Yaani mpaka nimesema, mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili sana.

Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!
 
maisha hayajawahi kua fair brother! hebu angalia hii

uko hai mzima wa afya kuna mwengine anapigania uhai wake icu

una pa kulala walau utadaiwa kodi kuna mwenzio hajui usiku ukiingia atalala wapi

una sim umeweza kutype jf kuna mwenzio anaitaman awe nayo hata aspopigiwa yeye awe na simu

unajua nn jifunze kushukuru kwa kidogo ulichonacho usiache kupambana hujui muda wala siku ya kutusua
 
maisha hayajawahi kua fair brother! hebu angalia hii

uko hai mzima wa afya kuna mwengine anapigania uhai wake icu

una pa kulala walau utadaiwa kodi kuna mwenzio hajui usiku ukiingia atalala wapi

una sim umeweza kutype jf kuna mwenzio anaitaman awe nayo hata aspopigiwa yeye awe na simu

unajua nn jifunze kushukuru kwa kidogo ulichonacho usiache kupambana hujui muda wala siku ya kutusua


Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
 
Wakuu...nahisi naongea pekeangu au nacheka pekeangu Ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.

Kazi niliyokuwa nayo Sina Tena,marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo Tena,simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.

Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi sa 12 narudi usiku Sana naogopa vidole mtaani.

Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu Bado Kodi ya nyumba..

Yaani mpka nimesema..mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili Sana.

Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu Sana

Huu mwaka naona umekuwa dume sana aisee
 
maisha hayajawahi kua fair brother! hebu angalia hii

uko hai mzima wa afya kuna mwengine anapigania uhai wake icu

una pa kulala walau utadaiwa kodi kuna mwenzio hajui usiku ukiingia atalala wapi

una sim umeweza kutype jf kuna mwenzio anaitaman awe nayo hata aspopigiwa yeye awe na simu

unajua nn jifunze kushukuru kwa kidogo ulichonacho usiache kupambana hujui muda wala siku ya kutusua
Mmh! Comment maridadi kabisa. Ungekuwa jirani yangu ungepata dinner week nzima bill juu yangu.
 
Wakuu, nahisi naongea peke yangu au nacheka peke yangu ila sijapata mtu tu wa kuniambia kwa jinsi life lilivonichapa.

Kazi niliyokuwa nayo sina tena, marafiki niliyokuwa na kunywa nao hawapo tena, simu yangu siku nzima saa 24 hakuna hata missed call.

Nashindwa kupita mtaani, natoka ghetto asubuhi saa 12 narudi usiku sana naogopa vidole mtaani.

Bili ya umeme na maji nimekuwa mdaiwa sugu, bado Kodi ya nyumba.

Yaani mpaka nimesema, mpenzi wangu yule nilikuwa nawaletea visa vyake nae kaniacha kikatili sana.

Mungu atusaidie vijana tunapitia magumu sana!
Pole sana, kwanza umepotezaje hiyo kazi? Pia ulijiwekea akiba ktk mapato yako au pombe ndo zilikufilisi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom