Maisha ya Utoto yana raha yake

Tony Laurent

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
4,726
5,442
1476892070348.jpg
 
Hapo sasa akiambiwa aende kuoga bado anatia utata anataka kulala hivohivo hahahahaha
 
Hapo sasa waambiwe kuna ubwabwa na maharage uone wanavyowahi kuoga bila kuambiwa kaoge duh utoto kwel noma!!
 
Wamependeza hao, kuna maeneo yana vumbi yaani ikifika saa 12 watoto wote wanafanana na kumtambua mwanao hadi uwaogeshe wawili au watatu wanaofanana na mwanao ili waonekane vizuri
 
Kuna ile ya mvua ikiianza kunyesha tulikuwa tunatoka nje kucheza na kuteleza kwenye matope ila ukirudi tu fimbo zinakusubiri sasa unaona unaonewa na una unashindwa ukijiuliza kwanini uchapwe wakati unajipa raha
 
watoto wa siku hizi wanagaragara kwenye tiles au baby sitter tu
Najuvunia utoto wangu ulivyokuwa wenye changamoto nyingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom