Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
Dodoma au?Wamependeza hao, kuna maeneo yana vumbi yaani ikifika saa 12 watoto wote wanafanana na kumtambua mwanao hadi uwaogeshe wawili au watatu wanaofanana na mwanao ili waonekane vizuri
Bila kiboko haogi mtuHapo sasa akiambiwa aende kuoga bado anatia utata anataka kulala hivohivo hahahahaha