Asante kakaJipende, kula vizuri, nukia cool and fresh, vaa vizuri ipende familia yako, kumbatia kilicho chako, watu watakupenda kisa una muda nao, pesa zako, wakikuhitaji upo,, siku uwepo wapo kwao sio muhimu huna tofauti na disposable mzee
Wewe kwanza una familia, familia yako kwanza...... Usiwe people pleaser utalia sana
Risiti ya Juzi imemuumbua mnafiki yule maninaaaa na mwisho sitaki umatako na wajinga wajinga mimi acha niendelee kuishi