Maisha ya uswazi/uswahilini

Maisha ya uswazi/uswahilini

Hakuna haja ya nguo kwa wamama,,tunasomba Maji na kwenda gengeni kwa kombo na kanga kifuani tu.


Afu nikipika maharage naenda kwa jirani kuomba mchuzi nasingizia nimwekee mtoto kwenye ndizi, nikiamini ataweka na kinyama kimoja ,, acha kabisa
 
Hahahaaa. Au ule muda wa jioni baada ya watu kula cha jioni waweza kasirika.

Au ile Alfajiri. Nikikumbuka Uswahilini lol. Ila kuna raha yake Mkuu.
Raha sana kuliko wtt wa wauzungun wanaocheza na tv mda wote
 
Hakuna haja ya nguo kwa wamama,,tunasomba Maji na kwenda gengeni kwa kombo na kanga kifuani tu.


Afu nikipika maharage naenda kwa jirani kuomba mchuzi nasingizia nimwekee mtoto kwenye ndizi, nikiamini ataweka na kinyama kimoja ,, acha kabisa
Hahahahaaaaa...kwel aisee
 
....Ndo kwenyewe kwenye maisha ya ushirikiano kama misiba nk!...kuna jamaa walipata msiba huko waishipo watu wa mambo safi!...walihamisha msiba kuuleta uswaz...maana kila jirani anatekuja hapo uzunguni kwao..anawaambia ohhh poleni sana..then anasepa...baadae wakajikuta wenyewe tu...wakaona sio kesi msiba ukaletwa uswazi...wana uswazi tukajumuika tukamstili mwenzetu....
 
Back
Top Bottom