Maisha ya South Africa daaah!!

Maisha ya South Africa daaah!!

Ni watu poa zaidi ya hawa weusi wazawa, wana wivu na chuki lkn coloured kitaan wakisha kufamu tu ww upo free hata wadada zao wenye mapengo una kamatia, lkn hawa waxhosa au wazulu wee wakilewa tu lolote lina tokea, so warangi fresh sana
 
Ni watu poa zaidi ya hawa weusi wazawa, wana wivu na chuki lkn coloured kitaan wakisha kufamu tu ww upo free hata wadada zao wenye mapengo una kamatia, lkn hawa waxhosa au wazulu wee wakilewa tu lolote lina tokea, so warangi fresh sana


Yeah mrangi rangi poa sana kama mkishafahamiana atakulinda kwa shida na raha,ila mzulu/mxhosa anaweza akawa anakuchekea nje ila moyoni anakuonea wivu balaa
 
Ila kama una mwanao wa ukweli yupo south basi kama ukiyajenga nae ili uende kufanya tour ya angalau week tu,utaenjoy sana mkuu,south ipo poa sana ukiachana ma matatizo yake mengine

Ila huyo mwanao inabidi awe wa ukweli na sio wale wazinguaji,hapo utapapenda sana South!!
asante sana mdau kwa ushauri wako, nina rafiki yupo huko SA. nafanya mpango wa invitation letter muda huu.
 
kuna pisi kal sana kule pamoja na Swaziland...yaani kama sijaukwaa mpaka leo basi siukwai tena!
Pisi kali sio mchezo, ila tabia sasa ujue bongo wanawake naweza kusema ni wazuri zaidi sababu ya tabia za kuji sitiri na heshma kdg,wabongo wengi wapo majela na vifo vingi sa'bu ya hz pisi zenye chura, mpaka watu wana mwagiana acid noma sana aisee
 
Kaka barua poa lkn sio muhim sana ila ni Vzr sa'bu ya ktk borders au Airport, lkn South Africa kuingia hukana changamoto zozote zaidi, ukifika ktk border yao weka hata rand 100 au 200 ili waku gongee miezi 3 maana sometimes unaweza ongewa stamp ya 2 week's tyu
pamoja sana kaka, border huwa kuna maswali ya kijinga sana.
 
pamoja sana kaka, border huwa kuna maswali ya kijinga sana.
Lkn kua makini kunatabia yaku zimiwa simu😂😂 ujue ili upate tabu,wangi wame fanyiwa hvy na watu wao wa krb, unaenda tembea au kupambana, km kupambana nenda hata UAE na km kutembea upo fresh tumia details zaki tours uta tumia Uber utafanya mambo yako kwa amani na jamaa yako uta muita mta salimiana mtaachana...watu wame badilika tabia ndugu
 
Karibu sandton mkuu
20210918_153949.jpeg
 
Lkn kua makini kunatabia yaku zimiwa simu😂😂 ujue ili upate tabu,wangi wame fanyiwa hvy na watu wao wa krb, unaenda tembea au kupambana, km kupambana nenda hata UAE na km kutembea upo fresh tumia details zaki tours uta tumia Uber utafanya mambo yako kwa amani na jamaa yako uta muita mta salimiana mtaachana...watu wame badilika tabia ndugu
hints muhimu sana hii, wabongo na mambo ya kipuuzi 😁😁
 
Unajua maisha haya bongo watu wengi wameshachoka sana tu ila amekosekana HERO wa kulianzisha tu ili watu wamalize kila kitu,na siku akitokea tu huyo mtu,yaan acha kabisaaa....

Talking about a hero,inanipeleka moja kwa moja kwenye tukio moja hivi one day pande za hillbrow

Nakatiza kwenye boda langu flani hivi ambalo daily huwa napita nikiwa naenda au narudi kwenye mishe zangu,sasa nimefika kwenye hii apartment ya Gate Way upande wa pili naona nyomi kama lote, watu kibao

Ikabidi nisogee ili nione kuna nini kinaendelea,nafika pale nakuta kuna mwana yupo chini analia tu full midamu,ameshapasuka vya kutosha halafu kuna mchizi kasimama mbele yake,anamungalia kiroho mbaya then anaendelea kumtia vitasa na mateke ya kufa mtu mpaka anachoka mwenyewe,anamwangalia tena kiroho mbaya huku anavuta pumzi then anarudia tena kumtandika kihasira

Daaah!!inauliza watu vp hapa mbona hivi,Si atamuua huyu? .... kuna mwana akanipa full story....

Ukiwa unaambaa na claim street kama unakwenda darajani,ukishavuka tu mtaa wa Bok kwa mbele kidogo upande wa kushoto kuna mjengo mmoja mkubwa tu siku hizi unaitwa GATE WAY,ndani ya huu mjengo kwenye nafikiri ground floor kuna bonge la gym,na vile vile hii apartment inatumiwa sana na wanafunzi

Sasa hapa kuna kimtaa flani hivi kifupi tu ambacho ukikatiza unajikuta unatazamana tu na main gate la kuingilia kwenye hii apartment,ila tatizo la hiki kimtaa ni eneo la kujidai la watoto wa babu wale wazee wa ngeta,kuna Chaka lao hapa

Sasa kumbe huyu mchizi anayemtandika mwenzake kiroho mbaya alijichanganya akapita kwenye hiki kimtaa anaelekea gym,wazee wa kazi kama wanne hivi wakasema nae,fasta wakampukutisha simu yake Kali tu then kama kawa wakakimbilia kwenye Chaka Lao,ila mchizi akawaunganishia

Kabla Yule wa mwisho kuzama ndani ya Chaka mwana akamdandia mgongoni wakaenda wote mpaka chini hapo hapo kwenye mlango wa chaka,baada ya kufanikiwa kumdhibiti akamvutia pembeni kidogo halafu ndio akawa anatembeza kichapo kikali anataka simu yake

Ndio me nafika hapo na kukuta kichapo kinaendelea na watu kibao wanaangalia,sasa wakati Yule mwizi anakula kichapo pale chini wenzake wapo juu ya mjengo wanaona kila kitu ila wanaogopa kushuka chini ili kumsaidia mwenzao

Mwishowe wakaona isiwe tabu mwenzao atakufa hivi hivi,wakamtuma dada flani kuileta ile simu kwa yule mchizi,baada ya mchizi kupewa simu yake akaicheki cheki na kuona ipo fresh tu,akaomba aletewe begi pamoja na t shirt yake,kipindi anamtandika Yule mwizi alivua begi na nguo ya juu akawapa wapopo wamuhifadhie kwenye saluni yao hapo hapo tu kwenye huo mjengo Chaka wa wezi

Basi baada ya kupewa hivyo vitu vyake akaletewa na maji kuosha mikono maana ilikuwa imejaa damu,then mchizi huyo mdogo mdogo anasepa.sasa kabla hata mchizi hajamaliza hatua hata tatu,Yule mwizi akanyanyuka fasta anakimbilia ndani (kwa kile kichapo alichopewa watu waliamini Yule hainuki pale mpaka wenzake waje kumbeba)

Basi lile nyomi likalipuka kwa shangae za kufa mtu huku baadhi wakimuungnishia yule mwizi na makonzi ya hapa na pale mwizi hakujali akafosi kuingia ndani tu na wakati huo huo yule mchizi akashangiliwa sana wakati anasepa mdogo mdogo.

Sasa nilichojifunza pale ni kwamba,watu wengi pale mtaani walikuwa wameshachoshwa na tabia za wale wezi sema tu walikuwa waoga wa kudeal nao kwa namna kama ile ya Yule mchizi,ndio maana Yule mwamba akashangiliwa sana baada ya kurudishiwa simu yake,na hiki ndio ninachokiona ndani ya Bongo sasa hivi.

Enewei ngoja siku nyingine tena mashetani ya kuandika yakipanda nitawasimulia jinsi me mwenyewe nilivyopigwa hela na malaya ndani ya jozi na vile vile jinsi watoto wa babu wanavyokaba watu mchana kweupeee mitaa ya hillbrow na sisi 'raia ' tukiangalia huku nimetulia tulii kama vile hatuoni.



MWIZI ANAPOIBIWA NDANI
YA 'FLOOR YA TATU'


Ilikuwa juma pili flani hivi ndani ya jozi, kama kawaida ya Chaka la floor ya 3 kila mtu anafanya lake ingawa ni usiku mwingi tu


Night Kali me nimeshalala kwa kuwa kesho yake juma tatu inabidi nidamkie kwenye mishe zangu,ila kwenye ghetto letu wapo wengine wachache vile vile wamelala kama mimi,wengine wapo nje au kwenye maghetto mengine wanapiga story na wengine wapo viwanjani kama culture inn na boxer night club wanakula maisha



Hivi viwanja culture inn na boxer club vilikuwa vinapedwa sana na wakazi wa Chaka la floor ya tatu kwa sababu vipo karibu sana na mjengo huu,na hii floor ya tatu ilikuwa ipo Kati Kati ya mitaa ya jeppe na bree ikiunganishwa na kimtaa flani kinaitwa Goud street



Mara nashtuka toka usingizini kutokana na makelele mule ghetto,kucheki fresh nini naona wana kibao wapo macho wanapiga story halafu kuna demu mmoja kaletwa na mchizi flani hivi anakwenda kwa jina la Asentawa(sentawa) kumbuka kwenye maghetto sometimes mnalala hata watu kumi si unajua maisha ya ghetto?



Basi story story wakati zinaendelea
Yule squizer wetu aliyekuja na mchizi akapewa kitanda ili alale maana alikuwa anechoka ukizangatia ameshanyeshwa vya kutosha na mchizi huko culture inn



Sasa sijui ilikuwaje Yule mchizi aliyekuja na demu akatoka nje kama anaenda chooni hivi halafu amemuacha demu amelala,kikawaida ukishakuja na demu machakani inabidi uwe nae muda wote,maana ukiwapa masela mgongo kidogo tu,utakuta wahuni wameshafanya yao kitambo sana,yaani sometimes demu anaweza hata kutoroshwa akafichwa humo humo machakani na wewe usimuone



Sasa mchizi ametoka nje na kibaya zaidi ameuweka usiku,wahuni wakaanza kujipigia yule demu,yaani akitoka huyu anaingia Yule,wanamgeuza tu Mara huku mara kule,ghetto ikawa sherehe kwa masela kila mwenye ugwadu wake anapiga tu,wakati huo demu anajifanya kazima kutokana na pombe



Basi baada ya muda mwingi kupita, mchizi akarudi ghetto na kukuta masela wapo bize kujipigia yule demu ,mchizi akaangalia halafu akasema nyie endeleeni tu kupiga,yeye mwenyewe huyoo akasepa





Kumbe wakati wana wapo bize kujipigia mchumba kwenye ghetto letu,huko nje wazee wa kazi wapo kazini.

Hapo hapo machakani Kwenye corner ya goud & jeppe streets ukifanya kama unashuka chini na mtaa wa jeppe mkono wa kushoto kuna duka jiipyaa la vifaa kama computers , speakers,deki za DVD nk limeshajazwa vitu kibao bado kufunguliwa tu



Kumbe wazee wa kazi walishalipigia mahesabu kitambo na usiku huo walikuwa kazini kusafisha duka,yaani wamekuja na vifaa vyao wamekata makufuli,wamepandisha gate kidogo then baadhi wakaingia ndani chukua mazaga zaga weka kwenye gari mpaka inajaa,wanapeleka halafu wanarudi tena kuendelea na zoezi lao



Sasa inaonekana wakati wanaendelea na zoezi lao kuna masela wa Chaka wakashtukia mchezo,so mdogo mdogo wakajisogeza sehemu husika ila kufika pale wale wazee wa kazi wakawaka,kwamba hili ni deal letu hatutaki shobo,na mtu akileta shobo mikwaju itahusika hapa,ikabidi wana wawe watulivu tu hakuna jinsi,ila wakaambiwa tulieni sisi tunamalizia malizia then tutawaachia na nyinyi mpige kazi



Baada ya jamaa kumaliza kazi kwa upande wao wakasepa na kuwaacha masela wa Chaka wanaanza kazi na wao,kwahiyo wakawa wanachukua mazaga zaga dukani na kuleta machakani kimya kimya then wanarudi tena dukani,wakawa wanarudia utaratibu huo kimya kimya


sasa hapa utaona huyu mchizi aliyewabwagia masela demu kwenye ghetto letu na kusepa kumbe na yeye alishtukia mapema huu mchongo,ndio maana akaachana na demu na kwenda kupiga kazi kimya kimya ila baada ya muda kidogo watu kibao machakani wakashtukia huu mchezo




Sasa likawa bonge la nyomi linatoka machakani kukimbilia dukani kuiba me mwenyewe nikiwa mmoja wao,sasa nimekwenda trip ya kwanza nikachukua mashine ya computer na keyboard nikaleta maghetoni kwetu then fasta nikaenda tena kuchukua computer screen na kuleta ghetto

Daaah!!nafika ghetto nakuta vile vitu nilivyoleta mwanzo havipo yaani watu wameshatembea navyo,nikaona huu ujinga gani sasa?...

Yaani me nahangaka kwenda kuiba dukani naleta ghetto halafu kuna wajinga wao kazi yao ni kutuibia sisi tukitoka kwenda kuiba tena?nikajikuta mimechoka sasa ingawa nilipanga kwenda kupiga tena speakers,nikaacha ile screen pale pale ghetto na kutoka nje



Sasa huku nje kumeshaanza kupambazuka,watu wanapita pita kwenda kwenye mishe zao,nje ya Chaka pale watu kibao wanapiga story na wengine wanaendelea kwenda kubeba chochote kilichobaki huko dukani,basi baadhi ya wakongwe pale Chaka wakapiga mkwara wa kibabe huku wengine wameshika mapanga mkononi wakiwa wamesimama mlangoni mwa chaka


Kwamba yeyeto anaenda kuiba vitu mida hii asilete machakani,apeleke popote anapojua yeye ila sio humo ndani coz kumeshapambazuka na watu wanaona kinachoendelea, so itaonekana watu wa chaka ndio wamevunja na kuiba kwenye lile duka hivyo kusababisha polisi kuvamia pale machakani



Me baada ya kuona hivyo nikaona huu msala sasa fasta nikaingia ghetto nikajipanga na kusepa kuelekea kwenye mishe zangu ingawa ilikuwa bado mapema sana,ajabu hata ile screen ya computer niliyoiacha muda si mrefu watu walishaipitia,nikajisemea tu moyoni shenzi type kabisaa hawa watu wa Chaka, kazi wizi tu yaani hapo roho inaniumaaa nimeibiwa vitu vyangu sema basi tuu, fasta fasta nikasepa nisije kukutana na mapila ya wazee halafu ikawa msala zaidi,

na siku hiyo sikurudi tena Chaka mpaka usiku mkali.
 
Pisi kali sio mchezo, ila tabia sasa ujue bongo wanawake naweza kusema ni wazuri zaidi sababu ya tabia za kuji sitiri na heshma kdg,wabongo wengi wapo majela na vifo vingi sa'bu ya hz pisi zenye chura, mpaka watu wana mwagiana acid noma sana aisee


Haaaah haaah Zile pisi kali kweli si mchezo ila akili zao wanazijua wenyewe aiseeh!!!
 
Back
Top Bottom