Maisha ya South Africa daaah!!

Maisha ya South Africa daaah!!

Bongo natamani siku tuwaamshie bodaboda wanaojifanya nchi yao hata kama yeye ndo kakupiga pasi kaanguka wanakuja mob kukujazia nzi na kukuibia. Huwa nataman niwapasue iwe fundisho sema naona itaniletea usumbufu tu wa kusumbuana na polisi japo najua haitofika mbali

Wachemshieni dawa tu ili watie akili hao wazinguaji!!
 
Mwana hakutaka unyonge kabisaa,maana South kawaida tu kuibiwa vitu vyako then unapigwa makofi mawili matatu ,kisha unaambiwa kimbia haraka sana tusikuone hapa,na kweli unatoka mduki Kali utafikiri wewe ndio mwizi!!
Sasa mnakupendea nini au nyie ndio wezi international .
 
natamani sana nije kutembea huko SA, ushauri wako tafadhali

Ila kama una mwanao wa ukweli yupo south basi kama ukiyajenga nae ili uende kufanya tour ya angalau week tu,utaenjoy sana mkuu,south ipo poa sana ukiachana ma matatizo yake mengine

Ila huyo mwanao inabidi awe wa ukweli na sio wale wazinguaji,hapo utapapenda sana South!!
 
Back
Top Bottom