Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,907
- 6,700
Hakuna kinacho dumu milele. Haijalishi ataishi kwa muda gani, Simba Mkuu hatimaye atakufa vibaya.
Hiyo ndiyo dunia.
Katika ujana wao, wanatawala, wanafukuza wanyama wengine, wanakamata, wanakula, wanameza na kuacha makombo yao kwa fisi. Lakini umri huja haraka siku hazigandi.
Mzee Simba hawezi kuwinda tena, hawezi kujiua wala kujilinda. Anazurura na kuunguruma hadi anaishiwa na bahati. Bahati ya simba Itahamia kwa fisi, simba analiwa na fisi akiwa hai. Hawamwachi wana mkata vipande vipande akiwa hai.
Maisha ni mafupi.
Nguvu zinakwisha.
Uzuri wa kimwili ni wa muda mfupi, hilo nimeliona kwa simba.
Nimeiona kwa wazee.
Kila mtu anayeishi kwa muda wa kutosha atakuwa dhaifu na atakuwa dhaifu sana wakati fulani.
Kwa hiyo, tuwe wanyenyekevu.
Tuwasaidie wagonjwa, wanyonge, wasiojiweza na muhimu zaidi usisahau kwamba siku moja tutaondoka katika jukwaa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndiyo dunia.
Katika ujana wao, wanatawala, wanafukuza wanyama wengine, wanakamata, wanakula, wanameza na kuacha makombo yao kwa fisi. Lakini umri huja haraka siku hazigandi.
Mzee Simba hawezi kuwinda tena, hawezi kujiua wala kujilinda. Anazurura na kuunguruma hadi anaishiwa na bahati. Bahati ya simba Itahamia kwa fisi, simba analiwa na fisi akiwa hai. Hawamwachi wana mkata vipande vipande akiwa hai.
Maisha ni mafupi.
Nguvu zinakwisha.
Uzuri wa kimwili ni wa muda mfupi, hilo nimeliona kwa simba.
Nimeiona kwa wazee.
Kila mtu anayeishi kwa muda wa kutosha atakuwa dhaifu na atakuwa dhaifu sana wakati fulani.
Kwa hiyo, tuwe wanyenyekevu.
Tuwasaidie wagonjwa, wanyonge, wasiojiweza na muhimu zaidi usisahau kwamba siku moja tutaondoka katika jukwaa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app