Maisha ya shule

Maisha ya shule

StormTrooper

Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
17
Reaction score
12
Chemistry bhana...nakumbuka unaingia exam room unakuta swali hujawahi kusikia tangu form one... Unaenda swali la pili linasema explain your answer in question one above...unaishiwa nguvu unasonga swali la tatu...kumbe linasema discuss your answer in question number two... Unawaangalia wenzako walio karibu na wewe ni vilaza bora wewe...unaona hamwezi discuss... Unaenda swali la nne wanauliza two types of bonds na wewe unajua ni eurobond na james bond pekee unauma kalamu... Kidogo unasikia mwenzako anaomba extra paper unashindwa kuelewa wewe umelogwa ama nini??? Kabla huyo kukaa mwingine anasimama na kusema swali la saba lina shida na ni hilo pekee uli calculate ukapata 0.076524. Unaamua kulalia meza na unaota kuna mjomba ako yuko jeshi ataku organaizia uingie jeshini after chuo...unaamka ghafla unapokumbuka kumbe mjomba ako ni wa jeshi la wokovu..
 
Chemistry bhana...nakumbuka unaingia exam room unakuta swali hujawahi kusikia tangu form one... Unaenda swali la pili linasema explain your answer in question one above...unaishiwa nguvu unasonga swali la tatu...kumbe linasema discuss your answer in question number two... Unawaangalia wenzako walio karibu na wewe ni vilaza bora wewe...unaona hamwezi discuss... Unaenda swali la nne wanauliza two types of bonds na wewe unajua ni eurobond na james bond pekee unauma kalamu... Kidogo unasikia mwenzako anaomba extra paper unashindwa kuelewa wewe umelogwa ama nini??? Kabla huyo kukaa mwingine anasimama na kusema swali la saba lina shida na ni hilo pekee uli calculate ukapata 0.076524. Unaamua kulalia meza na unaota kuna mjomba ako yuko jeshi ataku organaizia uingie jeshini after chuo...unaamka ghafla unapokumbuka kumbe mjomba ako ni wa jeshi la wokovu..
 
Chemistry bhana...nakumbuka unaingia exam room unakuta swali hujawahi kusikia tangu form one... Unaenda swali la pili linasema explain your answer in question one above...unaishiwa nguvu unasonga swali la tatu...kumbe linasema discuss your answer in question number two... Unawaangalia wenzako walio karibu na wewe ni vilaza bora wewe...unaona hamwezi discuss... Unaenda swali la nne wanauliza two types of bonds na wewe unajua ni eurobond na james bond pekee unauma kalamu... Kidogo unasikia mwenzako anaomba extra paper unashindwa kuelewa wewe umelogwa ama nini??? Kabla huyo kukaa mwingine anasimama na kusema swali la saba lina shida na ni hilo pekee uli calculate ukapata 0.076524. Unaamua kulalia meza na unaota kuna mjomba ako yuko jeshi ataku organaizia uingie jeshini after chuo...unaamka ghafla unapokumbuka kumbe mjomba ako ni wa jeshi la wokovu..
Asikuambie MTU uwo ndy uchaw wa mzungu
Mara umesoma pentane,
Unakutana maswali yote ya electrolysis
Utatamani urudi cheke chea ukajipange upya 😂😂😂😂😂😂
 
Chemistry bhana...nakumbuka unaingia exam room unakuta swali hujawahi kusikia tangu form one... Unaenda swali la pili linasema explain your answer in question one above...unaishiwa nguvu unasonga swali la tatu...kumbe linasema discuss your answer in question number two... Unawaangalia wenzako walio karibu na wewe ni vilaza bora wewe...unaona hamwezi discuss... Unaenda swali la nne wanauliza two types of bonds na wewe unajua ni eurobond na james bond pekee unauma kalamu... Kidogo unasikia mwenzako anaomba extra paper unashindwa kuelewa wewe umelogwa ama nini??? Kabla huyo kukaa mwingine anasimama na kusema swali la saba lina shida na ni hilo pekee uli calculate ukapata 0.076524. Unaamua kulalia meza na unaota kuna mjomba ako yuko jeshi ataku organaizia uingie jeshini after chuo...unaamka ghafla unapokumbuka kumbe mjomba ako ni wa jeshi la wokovu..
Hii ni physics
 
Sio mzaha hiyo hali unayokuwa hawezi mtu wa kawaida kukuelewa kirahisi hivyo
 
Back
Top Bottom