NIKIMU
Senior Member
- Jan 25, 2015
- 182
- 96
Naishi na mzazi mwenzangu nahisi hana nyota ya mafanikio nifanyeje kila ninachofanya sifanikiwi kabla ya kuwa nae mambo yalikuwa hayakwami.
Naombeni ushauri kwa nyogeza tu alinichanganya baada ya kumfumania na mchepuko mwaka na nusu sasa ananiomba msamaha mpaka leo anajutia na kulia kila wakati nilimsamehe ila nafsi yangu inaumia kila siku namuhurumia ila nateseka mno hasa nikimuona mchepuko wake naombeni ushauri nahisi kukonda
Naombeni ushauri kwa nyogeza tu alinichanganya baada ya kumfumania na mchepuko mwaka na nusu sasa ananiomba msamaha mpaka leo anajutia na kulia kila wakati nilimsamehe ila nafsi yangu inaumia kila siku namuhurumia ila nateseka mno hasa nikimuona mchepuko wake naombeni ushauri nahisi kukonda
