M marwan New Member Joined Apr 8, 2013 Posts 3 Reaction score 0 Apr 8, 2013 #1 nani mwongo zaidi kati ya hawa wana ndoa>>:A S 39:??
BUCHANAGANDE JF-Expert Member Joined Sep 8, 2011 Posts 1,512 Reaction score 482 Apr 9, 2013 #2 Wote waongo zaidi maana hakuna kipimo cha kupima uongo.
grndossy JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 311 Reaction score 80 Apr 9, 2013 #3 BUCHANAGANDE said: Wote waongo zaidi maana hakuna kipimo cha kupima uongo. Click to expand... Hakuna hata afadhali wote waongo kwisha kazi. Lakini aliyesingizia kanisani kama kakoleza zaidi kidogo afadhali polisi imepoa kidogo.
BUCHANAGANDE said: Wote waongo zaidi maana hakuna kipimo cha kupima uongo. Click to expand... Hakuna hata afadhali wote waongo kwisha kazi. Lakini aliyesingizia kanisani kama kakoleza zaidi kidogo afadhali polisi imepoa kidogo.
Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,454 Reaction score 1,569 Apr 9, 2013 #4 Mbona 2015 ni mbali sana haya yanajitokeza hivi sasa mitaani
T Tinambuya JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 419 Reaction score 41 Apr 10, 2013 #5 wote vibaka
N NancyM JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 314 Reaction score 40 Apr 10, 2013 #6 Hahahaha hiyo inaitwa if you will do me I will do you fair game haha kaaazi ipo Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hahahaha hiyo inaitwa if you will do me I will do you fair game haha kaaazi ipo Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums