Maisha ya mkenya wa kawaida

Umesahahu eti kuna watu wanasema wakenya huwa hawatawazi baada ya kunya. Loh!

Matter of fact, napenda saana kiswahili ya Kenya.. Nlikuwaga na demu mkenya (sorry yeye alikuwaga anatawaza after poo lol!) alikuwa anapenda kusema " huny twende sauna tukajibambe!" That was so swry!
Kiswahili chao kimejaa mistakes, watu wa Mombasa tu ndo wanakijua..... Ila kizuri kusikiza, vyenye hutamka
 
Umesahahu eti kuna watu wanasema wakenya huwa hawatawazi baada ya kunya. Loh!

Matter of fact, napenda saana kiswahili ya Kenya.. Nlikuwaga na demu mkenya (sorry yeye alikuwaga anatawaza after poo lol!) alikuwa anapenda kusema " huny twende sauna tukajibambe!" That was so swry!

Acha izo kijana ushakua MTU mzima MTU atachaje kutawaza c atakua kama gari LA taka,..ushakua MTU mzima acha upoyoyo
 
Githurai 45 ni
Bado hujatembea nenda Dandora Kayole Mathare Githurai 45 nk.
Halafu labda hujagundua Pubs Clubs Bars ni chache na nyingi ziko town city centre. Mitaani ni maduka ya pombe Kali tu. Utaona Majina kama Mwangi Wine n Spirits nk.
All in all Kenya esp ni pazuri kutembelea sio kuishi. Though kuna jambo moja zuri kama umepanga nyumba. Kulipa Kodi ni kila mwezi hakuna Mambo ya Kodi ya mwaka sijui miezi sita. Tarehe 29,30 mwenye nyumba saa 12 yuko mlangoni akatama chake. I think this should be introduced huku pia.

Githurai 45 ni kunoma nilipita huko siku 1, ila system ya kulipa rent monthly sio nzuri kwa wajasiriamali (wafanyao unofficial jobs) ni nzuri kwa wennye mishahara, hii ya kulipia cumulative miezi 6 au mwaka inakupa mda wa kufanya mambo yako kuliko kupigizana makelele na landlord

Na vile huku rent unapay kwa agent(dalali) sio house owner heheee jamaa hawanaga huruma juu usipolipa wanakutoa nje papo hapo
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA

Naungana na Wewe hasa kwenye hizo positives ones ila katika negatives ones hizo nadhani huku Kwetu Tanzania ndiyo zimetukuka kabisa kiasi kwamba hata hao Wakenya tumewazidi.
 
Githurai 45 ni


Githurai 45 ni kunoma nilipita huko siku 1, ila system ya kulipa rent monthly sio nzuri kwa wajasiriamali (wafanyao unofficial jobs) ni nzuri kwa wennye mishahara, hii ya kulipia cumulative miezi 6 au mwaka inakupa mda wa kufanya mambo yako kuliko kupigizana makelele na landlord

Na vile huku rent unapay kwa agent(dalali) sio house owner heheee jamaa hawanaga huruma juu usipolipa wanakutoa nje papo hapo
Advantage ya kulipa monthly ni in case nyumba ina tatizo mwezi ukiisha unasepa zako sio mpaka muanze negotiations na mwenye nyumba na in most cases hela hairudi.
Mimi Kenya napenda kutembelea miji mingine Kama Nakuru Naivasha Kisumu Kericho Mombasa no huko unaenjoy sana kuliko Nairobi roho juu juu muda wote
 
Nimekaa Nairobi, Sehemu tofauti tofauti, nimejichanganya na wananchi wa Kawaida... Maisha yao ni magumu sana sana.....

Why?
1. Plot wanazoishi sio hygienic, choo kimoja hushea watu zaidi ya 30+ which is dangerous in case of disease epidimics

2. Nyumba ni za mabati, kama mabanda ya nguruwe, huwezi amini kumuona mtu mstaarabu kwa road but ukenda kwa plot yake ni ya bati kama nguruwe

3. Mitaa mingi haina maji, hutegemea maji yanayosambazwa na malori, Lori moja husambaza maji mtaa mzima, watu hugombania, ndio ya 20litre huuzwa 20bob=440/= Tsh... Wana wake hubeba maji mgongoni sio kichwani kama ngamia au punda wakitembea a distance.

4. Wachache sana wanao afford kula balanced diet, wengi hula mboga tu(sukuma, terere, kienyeji, etc kwa ugali, nyama ni adimu sana hula matajiri tu.....

5. Mb za Kenya huisha kama upepo na very expensive, Tsh 50/= (1110/= Tsh ) unapewa Mb-68 tu, ambazo ukilog in fb dk 10 zinaisha, wakati Tz Fb ni bure na Kwa Tsh 1500/= unapata 1GB and a lot of airtime for a week.

Hakuna vibando vya kupiga simu kama Tz, mfano Tz unaweza weka Salio ukanunua dk kadhaa za kupiga, Kenya Unaweka Salio na kupiga hivyo hivyo kavu kavu, kudadeki, Tz tuna unafuu mkubwa wa mawasiliano, huduma kama Halichachi Bando n.k zinasaidia wana nchi.

5. Uchafu na taka ni changamoto sana, wana nchi hutupa hivyo maana hakuna utaratibu maalumu kama magari, yapo machache but not affordable to wana nchi wa kawaida wa hali ya chini

6. NAULI kila city basi hujipangia haiko fixed na hakuna governing body yenye hupanga na kuamua nauli kama SUMTRA TZ... So naweza end a tao(town) kwa mbao(20bob=Tsh 440\=) lakini ujaridi kwa 70bob(=1500/= Tsh au soo(Tsh 2000/=) hii INA kufanya ushindwe kupredict

7. Wakenya hawasalimiani njiani, unapita kimya kimya unless uwe mnajuana ndo unaaema 'Sasa......" Tz ni waungwana ukipita kwa njia ni must utae hae juu waweza dondoka mbele akaja akakusevu uliyemuacha nyuma

8. Makelele MENGI sana, tao(town) juu magari yako MENGI sana hasa ya abiria, mahoni pipiiiii, it make the city look hooliganic... Tz uko poa juu mabasi yamepigwa stop kuingia city centre hata yakiingia yana location maalumu sio kuzagaa kama Nairobi

9. Matapeli yamejaaa, Ma conmen, ukiwa street kuibiwa simu ni kawaida, dk mbili unaoneshwa kisu, hasa Eastleigh kule, ni balaaa

1
Kwa Kifupi Maisha Ni magumu sana kwa RAIA wa daraja LA chini, but starehe kwa matajiri na wenye nacho

10. Mabangi yameharimu vijana, vijana waziwazi wanatafuna miraaa, na Rais Wao aliruhusu and promised to fund miraa projects, this is insane...

11. Makelele ya mziki ndani ya matatu yanaharibu sana maskio, na huwezi sikizana kwa phone ukiwa ndani ya matatu, regaae musics most preferred na matatu ziko equipped na music system nzito sound crazy for we non citizens who were not used to this before

Note:- This report is based in Society with low socioeconomic status which constitutes 75% of Kenyans in Nairobi

POSITIVE;-
1. Shule zao ziko smart huwezi differentiate Gava na private
.2. Watoto wanatema ung'eng'e balaa, mtoto wa std 4 ni sawa na form 6 wa Tz,, they are very fluent, compentent in English both written and spoken......nashauri kwenye pesa wapeleke watoto Wao kula japo kwa primary, very cheap.....na quality uko juu

3. Magari ni rahisi kumiliki

4. Starehe nyingi sanaaaaaaa, sanaaaaa kama una pesa zako

5. Hakuna MTU anajali mambo yako, no kulogana au wivu...

6. Entertainments clubs, pubs zimejaaaa

7. Mabasi yao yamepambwa sana this make the city jams look good

Ni HAYO KWA LEO, WAKIBISHANA NITALETA PICHA
Namba 1 na 2 naweza kukubaliana nawe,maana nina marafiki wakenya ambao wakija bongo uwa lazima niwapeleke home,lkn inakuwa tofauti pindi mimi niendapo kenya,uwa tunaishia kukutana mjini kwenye mishe zetu
 
Baby twende tukajibabambe hahaha,
Uhuru Park ndio kati ya vitu ambavyo nimevipenda Nai Tz wanatakiwa kuiga
Unawahi kupanda matatu asubuhi kabla demand haijawa kubwa nauli ndogo unaenda city park unapumzika ukichelewa bajeti inaharibika

Ila wamejitahidi kupanga mji idara zinazofafa kukaa karibu karibu
Kudos Nai
 
Advantage ya kulipa monthly ni in case nyumba ina tatizo mwezi ukiisha unasepa zako sio mpaka muanze negotiations na mwenye nyumba na in most cases hela hairudi.
Mimi Kenya napenda kutembelea miji mingine Kama Nakuru Naivasha Kisumu Kericho Mombasa no huko unaenjoy sana kuliko Nairobi roho juu juu muda wote
Of course sawa, kero ya miezi upatapo emergence za kuhama.....
 
Nchi yoyote ile ukiitembelea na kuishi kwenye mitaa yao ya mabanda lazima utapata mengi ya kukosoa, na ndio maana nchi nyingi hupenda kukaribisha watu wenye hela na wataalam lakini sio wahangaikaji watakaoshindana na wenyeji/wazawa kwenye kubeba mabox na kubanana kwenye madaladala na kung'ang'ania ubwabwa kitaa.

Tabia kama hizi ndio hufanya wale watu wa Afrika Kusini wanaibuka kwa fujo na kuanza kupiga piga wageni uchwara kama hao. Leo hii nikiingia ghetto za Bongo, kama zile huwa tunaona kwenye nyimbo za singeli au ule wimbo wa Mrisho Mpoto 'njoo uichukue' nitakuta hayo maajabu tu.

Unapokwenda kwenye nchi za watu, ili usikumbane na hayo ulioandika humu, hakikisha una utaalam ambao unaweza kukupa kipato kinachokukuwezesha kuishi maeneo yenye hadhi na sio kupigana vikumbo na wazawa wakati wanafuata misosi kwa mama nitilie.

Cha msingi, maisha ya kitaa hufanana kwenye nchi nyingi, kama wewe ni Mtanzania mwenye akili naomba utazame huu wimbo hapa chini na kuuskliza kwa makini, utajifunza kitu ili siku nyingine utatumia akili kabla ya kuibuka na maada za kihivi. Halafu naona unapenda kutumia M4C, kama sijakosea hiyo inahusiana kiaina na chama Chadema, utakua unawatia aibu wenzako wa hicho chama.

 
Baby twende tukajibabambe hahaha,
Uhuru Park ndio kati ya vitu ambavyo nimevipenda Nai Tz wanatakiwa kuiga
Unawahi kupanda matatu asubuhi kabla demand haijawa kubwa nauli ndogo unaenda city park unapumzika ukichelewa bajeti inaharibika

Ila wamejitahidi kupanga mji idara zinazofafa kukaa karibu karibu
Kudos Nai
Tutengeneze Uhuru park Daresaam pale Kokobeach au Jangwani , Zanzibar wana Forodhani Park
 
Nchi yoyote ile ukiitembelea na kuishi kwenye mitaa yao ya mabanda lazima utapata mengi ya kukosoa, na ndio maana nchi nyingi hupenda kukaribisha watu wenye hela na wataalam lakini sio wahangaikaji watakaoshindana na wenyeji/wazawa kwenye kubeba mabox na kubanana kwenye madaladala na kung'ang'ania ubwabwa kitaa.

Tabia kama hizi ndio hufanya wale watu wa Afrika Kusini wanaibuka kwa fujo na kuanza kupiga piga wageni uchwara kama hao. Leo hii nikiingia ghetto za Bongo, kama zile huwa tunaona kwenye nyimbo za singeli au ule wimbo wa Mrisho Mpoto 'njoo uichukue' nitakuta hayo maajabu tu.

Unapokwenda kwenye nchi za watu, ili usikumbane na hayo ulioandika humu, hakikisha una utaalam ambao unaweza kukupa kipato cha maeneo yenye hadhi na sio kupigana vikumbo na wazawa wakati wanafuata misosi kwa mama nitilie.

Cha msingi, maisha ya kitaa hufanana kwenye nchi nyingi, kama wewe ni Mtanzania mwenye akili naomba utazame huu wimbo hapa chini na kuuskliza kwa makini, utajifunza kitu ili siku nyingine utatumia akili kabla ya kuibuka na maada za kihivi. Halafu naona unapenda kutumia M4C, kama sijakosea hiyo inahusiana kiaina na chama Chadema, utakua unawatia aibu wenzako wa hicho chama.


Wewe ni Muungwana umeukiri u kweli........ Ila maisha magumu wanateseka RAIA.... Gepu ni KUBWA sana kati ya Tahiti na maskini ukilinganisha na Tz.... Ama namna gani?
 
Wewe ni Muungwana umeukiri u kweli........ Ila maisha magumu wanateseka RAIA.... Gepu ni KUBWA sana kati ya Tahiti na maskini ukilinganisha na Tz.... Ama namna gani?

Hiyo gap umetumia kipimo/kigezo kipi, maana nijuavyo kwa takwimu za kitaalam na kisayansi na kwa mujibu wa banki kuu ya dunia, Watanzania 70% ni maskini Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges

Aslimia 30% ya Watanzania ndio wenye nchi, wengine mnataabika kule migodini na mitaani. Hizo ni takwimu za benki ya dunia sio mimi.
 
Nchi yoyote ile ukiitembelea na kuishi kwenye mitaa yao ya mabanda lazima utapata mengi ya kukosoa, na ndio maana nchi nyingi hupenda kukaribisha watu wenye hela na wataalam lakini sio wahangaikaji watakaoshindana na wenyeji/wazawa kwenye kubeba mabox na kubanana kwenye madaladala na kung'ang'ania ubwabwa kitaa.

Tabia kama hizi ndio hufanya wale watu wa Afrika Kusini wanaibuka kwa fujo na kuanza kupiga piga wageni uchwara kama hao. Leo hii nikiingia ghetto za Bongo, kama zile huwa tunaona kwenye nyimbo za singeli au ule wimbo wa Mrisho Mpoto 'njoo uichukue' nitakuta hayo maajabu tu.

Unapokwenda kwenye nchi za watu, ili usikumbane na hayo ulioandika humu, hakikisha una utaalam ambao unaweza kukupa kipato kinachokukuwezesha kuishi maeneo yenye hadhi na sio kupigana vikumbo na wazawa wakati wanafuata misosi kwa mama nitilie.

Cha msingi, maisha ya kitaa hufanana kwenye nchi nyingi, kama wewe ni Mtanzania mwenye akili naomba utazame huu wimbo hapa chini na kuuskliza kwa makini, utajifunza kitu ili siku nyingine utatumia akili kabla ya kuibuka na maada za kihivi. Halafu naona unapenda kutumia M4C, kama sijakosea hiyo inahusiana kiaina na chama Chadema, utakua unawatia aibu wenzako wa hicho chama.



Tatizo lenu nyie ni kujiona bab'kubwa wakati ni washidashida tu. Mna majigambo ya kitoto na kijinga wakati kuna ufukara wa kutisha nchini mwenu.
Hamna watu wanaishi kwenye mabanda ya mabati chakavu Dar es Salaam, hamna sehemu za ovyo zaidi ya Kibera,Korogocho, Huruma, Matopeni na mitaa mingine ya mabanda Nairobi.

 
Hiyo gap umetumia kipimo/kigezo kipi, maana nijuavyo kwa takwimu za kitaalam na kisayansi na kwa mujibu wa banki kuu ya dunia, Watanzania 70% ni maskini Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges

Aslimia 30% ya Watanzania ndio wenye nchi, wengine mnataabika kule migodini na mitaani. Hizo ni takwimu za benki ya dunia sio mimi.

Ndio shida yako/yenu mkuu, mnapopewa facts za kutoka field mnang'ang'ania makaratasi ya Wazungu, mnaona wazungu ndio wenye fact
World bank wametoa fact zao kuwa uchumi wa Tanzania umekua kwa kiwango kikubwa kuliko nchi yoyote ya Africa Mashariki, lakini hayo ni makaratasi tu, fact ni kuwa tulioko field tunajua taabu tunayoipata ambayo haiendani kabisa na data hizo za UN

Kubali ukweli ukiweke huru
 
Wakenya ni ndg zangu wadamu ola ukweli ni huyu tunaousema.... Mabanda ya kibera na mwingine mliyatunza ya nini? Utalii?

Kuna mda mlijidai kujenga nyumbani kule kuwapa RAIA, lakini zilipokamilka wakawa wanapewa wakikuyu tu, ukabila ni hatari

Lakini pia statistics haziongei kila kitu, angalia uhalisia...... Hata manzese ya Dar sio h hivi,

Yaani nyumbani ya tofali ni anasa kwa RAIA wa kawaida, mabanda yakichemka una kuwa kama unakaangwa, hasa kama umeoa au kuolewa ....
 
Back
Top Bottom