MissM4C
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,738
- 995
- Thread starter
- #21
Kiswahili chao kimejaa mistakes, watu wa Mombasa tu ndo wanakijua..... Ila kizuri kusikiza, vyenye hutamkaUmesahahu eti kuna watu wanasema wakenya huwa hawatawazi baada ya kunya. Loh!
Matter of fact, napenda saana kiswahili ya Kenya.. Nlikuwaga na demu mkenya (sorry yeye alikuwaga anatawaza after poo lol!) alikuwa anapenda kusema " huny twende sauna tukajibambe!" That was so swry!