Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
- Thread starter
- #61
Hahahahawanaisoma namba. ila gabo anawapeka puta ata yule wa kunywa maji mpaka kua na rangi kama ponjoro sijamsikia
Hahahahawanaisoma namba. ila gabo anawapeka puta ata yule wa kunywa maji mpaka kua na rangi kama ponjoro sijamsikia
Hao kwa idadi yao hawathili chochote kwenye uchaguzi, Ila hawakujua kuwa waliitajika sana na watanzania kuliko ccm.Wana haki ya kushabikia chama chochote wanachoona kinawafaa..Kwa hiyo ulitaka washabikie UKAWA ndio maisha yao yawe tofauti?
Duh, kweli kura hazikutosha!!!Naongelea wasanii wa bongo movi. Ndyo maana hapo hukuona kuna picha ya diamond wala wasanii wa bongo flavor
Hivi mkuu izo picha ni za mkoa gani? Iyo nyomi ni hatare sana.
Wanatamani 2020 ifike mapema maana ndyo msimu wa mavno waliobakiza pekeeWamechoka mbaya
Bila kusahau safari lagerSiku hizi wanakunywa k.vant na valuu
Mimi nachekaa sana wacha waisome nambaNikiwaangalia roho inaniuma.
Hawa sio tatizo maana walichokuwa wanakipigania hakikufaulu hivyo kama hakuna mabadiliko katika maisha yao watapigania tena 2020. Shida ni hao wa kijani ambacho walikipigania kimewadharau na kuwatupaHao kina Ney wa migeto sio wasanii?
Mleta mada wacha kielemea upande mmoja...
Haya basi hao hapo sio wasanii ni wabunge
Naomba wakati tunaendelea kuchangia mada tukumbuke pia tuna picha za aina hii kwenye archives zetu..
Ni msanii wa magazeti ya udakuHv SEPENGA ni msanii wa nn?
Asante. UmemalizaHawa sio tatizo maana walichokuwa wanakipigania hakikufaulu hivyo kama hakuna mabadiliko katika maisha yao watapigania tena 2020. Shida ni hao wa kijani ambacho walikipigania kimewadharau na kuwatupa
Tatizo sio kulipwa,umenufaika vipi,inawezekana kutojitambua kwao wamelipwa kisicho kizi maitaji yao,wamewanufaisha wenzao walio madarakani,nina uakika hawakuwa kitu kimoja au wangejijenga kama taass,wangeweka mikakati ya malipo wote kama wamoja nina uakka kipindi cha uchaguzi wangevuna,kwa jinsi walivyokuwa wanaitajika wangekuwa sio awa wanaoangaika kuuza chupi na kuolewa na watoto wadogo,nawashauli 2020 wawe na mikakati ya pamoja kuwe na mikakati ya malipo kama pesa au nyumba na Gari,kama watakavyonufaika wenzao wakiingia madarakani nyumba wanapata na magari juu,kwa mwaka 2015 wametumika kuwafaidisha wenzao,nina uakika 2020 wakipanga kiwango wakitakacho na kuweka ugumu watafaidika,ila wawe kitu kimoja,wasifanye makubaliano ya mtu mmoja mmoja.Kwani wewe ulipotumika na CDM leo una nini km si umbeya tu - msanii gani hakulipwa kwa kila jukwaa alilopanda au unataka wawekwe kwenye payroll ya serikali????