Miaka kadhaa iliyopita enzi ya utawala Wa JK( awamu ya NNE) nikimshauri kijana wetu baada ya kumaliza degree yake ya BAF, nilimwbia aamdike barua na kuzisamabaza kwenye mabenki, alifanya kama milivyomuagiza, Alifanya na zaidi, aliandika barua za Maombi ya kazi mabenki yote, alimwandikia na mpemzie,
Aliitwa kwenye benki 2, akifanya Interview benki moja akapata kazi, na mwenzie aliitwa benki moja akafanya Interview naye akapata kazi kwenye hiyo Benki. Wakaoana na maisha yakaendelea.
Baadaye akaomba kazi sehemu nyingine akaitwa Interview. Tukakutana kwenye Panel kila mtu kaja kivyake, baadaye akapata hiyo kazi kwa nguvu zake mwenyewe japo nilikuwa kwenye Panel sikufanya chochote.