Maisha ya connection yanatutesa vijana.

Acha mambo ya kulia lia. Hakuna cha connection. Serikali inatangaza ajila na watanzania wote wanaomba na mchujo, interview na selection zinafanyika kulingana criteria na vigezo. Wee kalia kuti na mkeka wa bibi na kulalamika eti kuna upendeleo. Mengine masikini wamefungwa na ujinga wa kutojiamini, kukosa hata 1000 ya kuingia internet na kufanya application au kutype na postal charges za barua, kuzungukwa na masikini wanakujaza ujinga wa kimasikini, kulogana, n.k. pambana struggle for existence and survival for fittest!
Aisee ukibahatika kupata bila connection yoyote shukuru Mungu. Ila alichokisema muungwana kina ukweli wake na hizo nyodo zilizo kwenye bold ni shibe za kupata kwako.
 
Kabla sijapata ajira PSRS (utumishi) nilikuwa na mawazo ya kipumbavu kama yako,ila baadae nikakaa nikawaza nikaamua kutumia njia zile zile wanazotumia wengine bila kuchoka,amini usiamini mambo ya connection nilikuwa nayaamini kwa asilimia 100% ila baada ya kusota kivyangu kwa muda wa miaka 3 bila kuchoka nikafanikiwa kupata ajira bila kumshirikisha ndugu yangu yeyote yule ambao wapo kwenye system tena vitengo muhimu ,ushauri jiamini toma maombi ya kazi bila kuchoka ukiitwa kwenye interview nenda bila kuweka matumaini kuwa lazima Wewe ndo ucjaguliwe muombe mungu uwe na afya nzuri nakuhakikishia utatoboa tu.mwisho usichague kazi kwani kazi ndogo unayoimba ndo inaweza kuwa msaada wa kufikia kazi kubwa unayoitaka maishani.usiku mwema
 
Km wazazi wako awakutengeneza connections wew tengeneza ili watoto wako wakikuta huu mfumo isiwe taabu achana na ajiraa fanya vitu vingine kwan !!! Mpka wote mkae ofisini mbona izo laki nane mnazolilia kwa mwezi ni ndogo sana ukilinganisha na thamani yako na ya elimu yako na ya muda wako acheni kulialia anzia hapo.
 
Kabla sijapata ajira PSRS (utumishi) nilikuwa na mawazo ya kipumbavu kama yako,ila baadae nikakaa nikawaza nikaamua kutumia njia zile zile wanazotumia wengine bila kuchoka,amini usiamini mambo ya connection nilikuwa nayaamini kwa asilimia 100% ila baada ya kusota kivyangu kwa muda wa miaka 3 bila kuchoka nikafanikiwa kupata ajira bila kumshirikisha ndugu yangu yeyote yule ambao wapo kwenye system tena vitengo muhimu ,ushauri jiamini toma maombi ya kazi bila kuchoka ukiitwa kwenye interview nenda bila kuweka matumaini kuwa lazima Wewe ndo ucjaguliwe muombe mungu uwe na afya nzuri nakuhakikishia utatoboa tu.mwisho usichague kazi kwani kazi ndogo unayoimba ndo inaweza kuwa msaada wa kufikia kazi kubwa unayoitaka maishani.usiku mwema
Waambie! Ndo maana wazungu walisema "vicious circle of poverty". Yaani ukiwa masikini waliokuzunguka ni masikini, mawazo unayopewa ya kimasikini, unachoamini ni kuwa haiwezekani, utaoa masikini, utakula vyakula vyaifu utakonda na kupata maradhi mwisho utakufa. Lakini ukijiamini kuwa Mungu alituumba wote sawa na wote tumapata rehema zake bila ubaguzi utajitia moyo na kufumbua macho na kuona fursa ambazo wengine hawaoni na utaacha kulalamika eti mpaka uwe na connection ndo upate kazi! Rubbish! Changamka mtoto wa kiume!
 
Sahz uliesoma ndo unaonekana kiazi kulko ht asiesoma,ht kusema kwa wat huwez
 
Kuna watu wamepata ajira zile za TRA 2017 bila hata connection interview ile ile ya watu 29,000 na kuna mtoto wa kamishna huko huko TRA alikosa kazi wakapata watu wasio na connection wabongi wengi hua wanaamini sana katika ku connectiwa nimewahi fanya interview 10 kati ya hizo 4 nilipata kazi hizo katika kipindi tofauti 5 nilikosa kwa sababu sikuweza kudhihirisha uwezo kuwashamishi panel, moja nilikosa sababu nilimtongoza mrembo aluekua internship kumbe kuna kioo tinted wakati nafanya yangu jamaa walikua wakinicheki live kabisa..ila wakaja kurudia tena tangazo sikuomba tena sababu niliona ni kujichosha...
 
Miaka kadhaa iliyopita enzi ya utawala Wa JK( awamu ya NNE) nikimshauri kijana wetu baada ya kumaliza degree yake ya BAF, nilimwbia aamdike barua na kuzisamabaza kwenye mabenki, alifanya kama milivyomuagiza, Alifanya na zaidi, aliandika barua za Maombi ya kazi mabenki yote, alimwandikia na mpemzie,
Aliitwa kwenye benki 2, akifanya Interview benki moja akapata kazi, na mwenzie aliitwa benki moja akafanya Interview naye akapata kazi kwenye hiyo Benki. Wakaoana na maisha yakaendelea.
Baadaye akaomba kazi sehemu nyingine akaitwa Interview. Tukakutana kwenye Panel kila mtu kaja kivyake, baadaye akapata hiyo kazi kwa nguvu zake mwenyewe japo nilikuwa kwenye Panel sikufanya chochote.
Sasa Kuna mwingine Hana mtu wa kumuongoza Kama wewe ulivyomuongoza huyo kijana wako.
Maana yake bila kumuelekeza pengine asingejua Nini afanye na angeishia kuzubaa tu mtaani.
Kumpa hiyo mbinu ya kufanya ni nusu ya connection.
 
Km wazazi wako awakutengeneza connections wew tengeneza ili watoto wako wakikuta huu mfumo isiwe taabu achana na ajiraa fanya vitu vingine kwan !!! Mpka wote mkae ofisini mbona izo laki nane mnazolilia kwa mwezi ni ndogo sana ukilinganisha na thamani yako na ya elimu yako na ya muda wako acheni kulialia anzia hapo.
Tatizo ukianzisha biashara vilaza mliopewa connection tra mnakuja kutukadiria kodi isiyo na kichwa wala miguu matokeo yake mtu unafirisika.
Lakini ingekuwa wanaajiriwa watu kwa usmart wa upstair pengine wangetoa ushauri mzuri na sera za taasisi mbalimbali zingebadilika.
 
Kuna watu wamepata ajira zile za TRA 2017 bila hata connection interview ile ile ya watu 29,000 na kuna mtoto wa kamishna huko huko TRA alikosa kazi wakapata watu wasio na connection wabongi wengi hua wanaamini sana katika ku connectiwa nimewahi fanya interview 10 kati ya hizo 4 nilipata kazi hizo katika kipindi tofauti 5 nilikosa kwa sababu sikuweza kudhihirisha uwezo kuwashamishi panel, moja nilikosa sababu nilimtongoza mrembo aluekua internship kumbe kuna kioo tinted wakati nafanya yangu jamaa walikua wakinicheki live kabisa..ila wakaja kurudia tena tangazo sikuomba tena sababu niliona ni kujichosha...
Sasa mkuu kutongoza demu Kuna uhusiano gani na interview ya kazi.
Kama wako fair wangekupa tu kazi,shuleni ndio kosa kutongozana lkn uraiani au kazini sio kosa kumtongoza mtu.
 
Sahz uliesoma ndo unaonekana kiazi kulko ht asiesoma,ht kusema kwa wat huwez
Ndiyo hvyo halaf wajinga waliopewa kazi na ndugu zao hawaoni hiyo hali wanaendelea kutetea tu kwa sababu hawajawah kupambana wenyewe wakaona ugumu wake.
Hao ni watoto laini laini tu shule wanatafutiwa na wakimaliza kusoma kazi wanatafutiwa wanajua Nini kuhusu ugumu wa maisha.
Mimi nishafanya interview 4 za serikalini Hadi sasa na zote huwa nakomaa napita kwenye hatua zote za mchujo badae hata majibu hawatoi wanakausha tu.
Halaf badae aje mpumbavu mmoja hapa aseme kwamba maskini ni waoga hatuombi kazi na hatuna roho ya uthubutu.
 
Kuna wanangu nilikuwa nawakimbiza chuo wengi wao sasa wameshapata kazi na ni vilaza balaa kila siku wananipigia simu mimi nilie mtaani nawaeleleza concept kibao huko makazini mwao mpaka nawaonea huruma. Nimewasaidia mwaka wa kwanza mpaka kuandika dessertations zao ni vilaza haswa ila ndo hivyo connections zimewapa kazi huwezi amini mm mtoto wa maskini ndo nimewaandikia cv zao na barua za kuomba kazi kimbembe sasa wao wana kazi mm nipo mtaani nakomaa na biashara. Nakumbuka kuna interview moja nimeingia mpaka mwisho nimejibu vizuri maswali sijakaa ata sana naona kabisa hapa nimepita kmake majina yanatoka hola nilikata moto na kutuma cv kwa mda kwanza mpaka mama akanionea huruma aisee.Sio wote walio na kazi ni smart na sio wote walio mtaani jobless sio smart sometimes inahitajika mkono kidogo wa mtu wa ndani akuinue. Nashukuru mungu mtaani sio kugumu kiviile hustle zinaendelea huku tukiendelea kutafta kazi mdogomdogo. Ila ushauri wangu jitahidini kuwa smart kichwani pia mjichanganye na watu uwe na network kubwa. Your network is your networth.
Jah Bless
 
Acha mambo ya kulia lia. Hakuna cha connection. Serikali inatangaza ajila na watanzania wote wanaomba na mchujo, interview na selection zinafanyika kulingana criteria na vigezo. Wee kalia kuti na mkeka wa bibi na kulalamika eti kuna upendeleo. Mengine masikini wamefungwa na ujinga wa kutojiamini, kukosa hata 1000 ya kuingia internet na kufanya application au kutype na postal charges za barua, kuzungukwa na masikini wanakujaza ujinga wa kimasikini, kulogana, n.k. pambana struggle for existence and survival for fittest!
Mkuu mambo mengine usipinge ili uonekane na wewe umekoment. Alichozungumza mtoa post kipo na ni ukweli kabisa. Kwani hata monchoari kama huna conection maiti yako utapewa ila utazungungushwa na hiyo ndio sistimu ya kibongo. Au kwakuwa mwenzetu wewe umepigiwa pande somewhere ndo unatuona sie tusiokuwa na malefa mambumbu
 
Back
Top Bottom