Maisha ya chuo yapo hivi

Maisha ya chuo yapo hivi

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,677
Reaction score
81,636
Ukifika chuo ishi Maisha yako hata Kama watu watakuonaje we ishi Maisha yako tu

Hilo boom unabidi ulitumie vizuri ili ukitoka chuo utoke na mtaji.

Ajira hamna sasa hivi hivyo unabidi kujitenga na starehe za kipumbavu ukiwa chuo hasa nyie mnaotoka vijijini na kuja katika miji mikubwa mnakuaga wapumbavu Sana so take care
The struggle is real
 
Ukifika chuo ishi Maisha yako hata Kama watu watakuonaje we ishi Maisha yako tu

Hilo boom unabidi ulitumie vizuri ili ukitoka chuo utoke na mtaji.

Mwaka 1 wa chuo unabidi uwe na gheto na kila kitu Kama kijana anayejitambua
Godoro
Kitanda
Sabufa
Tv
Feni
Gas n.k

Mwaka wa pili save pesa upate hata laki tano ya mtaji .

Ajira hamna sasa hivi hivyo unabidi kujitenga na starehe za kipumbavu ukiwa chuo hasa nyie mnaotoka vijijini na kuja katika miji mikubwa mnakuaga wapumbavu Sana so take care
The struggle is real
Hiyo Tv ni kwa ajiri ya Kuangalia vipindi gani? Skonga,taarifa ya habari au ziara za Rais??

Muda huo ukute una PC na Smartphone

Kichwa cha thread kiwe" vitu ulivyo kuwa navyo wewe wakati una anza chuo". Na life lako binafsi wakati uko chuo
 
Huo ni mtazamo wako na usilazimishe unachowaza wewe ndio kiwe perfect. Wewe kama unaona hivyo ni sawa endelea ila usitukane watu ambao huwalipii ada wala huwanunulii Chakula chuoni. Unajifanya unajua Sana maisha ya chuo sio?

By the way mpumbaf mwenyewe
 
Ukifika chuo ishi Maisha yako hata Kama watu watakuonaje we ishi Maisha yako tu

Hilo boom unabidi ulitumie vizuri ili ukitoka chuo utoke na mtaji.

Ajira hamna sasa hivi hivyo unabidi kujitenga na starehe za kipumbavu ukiwa chuo hasa nyie mnaotoka vijijini na kuja katika miji mikubwa mnakuaga wapumbavu Sana so take care
The struggle is real
Watakuja kukuelewa wakishamaliza chuo,, sasa hv hawawez kukuelew..Wenye Akili tu ndy watakao kuelew sasa hiv.
 
Ukifika chuo ishi Maisha yako hata Kama watu watakuonaje we ishi Maisha yako tu

Hilo boom unabidi ulitumie vizuri ili ukitoka chuo utoke na mtaji.

Ajira hamna sasa hivi hivyo unabidi kujitenga na starehe za kipumbavu ukiwa chuo hasa nyie mnaotoka vijijini na kuja katika miji mikubwa mnakuaga wapumbavu Sana so take care
The struggle is real
Wakumbushe pia dada zetu,maana hawa ni wahanga zaidi.kutaka maisha ya mashindano halafu uwezo wa kifamilia kifedha ni mdogo.Wataishia kudharirishwa sana.maana wapo wanaongojea uishiwe halafu ufanywe kwa hiayari yako kitu ambacho hukipendi kabisa
 
Back
Top Bottom