Maisha ya chuo bila mke!

Maisha ya chuo bila mke!

Warmly welcome. Mkuu tuko pamoja, tulipitia huko huko,tukatendwa lakini baada ya kugundua faraja ipo kwenye kitabu na kupasua GPA ya uhakika, mkikutana mitaani baada ya wanaowadanganya kuwakimbia utawakuta wamebadilika wameacha umagharibi na kurudi kwenye hali yao ya asili.

Na wengine hufikia hatua ya kutubu na kumrudia Mungu kabisa.

hongera safi mkuu kama ulivuka mapito haya nimependa san busara zako be blessed and keep on advicing others who seeks or ask you for advice
 
Mtu hata kazi huna,tayari umeanza kuwaza masuala ya mke wa kuoa!
 
Mtu hata kazi huna,tayari umeanza kuwaza masuala ya mke wa kuoa!


hakuna asiye na kaz duniani ila inategemea kaz ipi so co kwmb cna kazi navimirad vyang vidogovidogo nimeweka watu wanacmamia sas kama ndo hvyo umeamua kiviita co kaz sawa ila ndo individual difference maadam vina nipa kula na kuvaa
 
Yesu akurehemu..uzinzi ni dhambi mkuu pia mke mwema hatoki JF. Mke mwema hutoka kwa Bwana so muombe Mungu akupe dira na muongozo umpate mke mwema na sio kukurupuka kwani ndoa si sawa na bongo fuleva

Yap. Kula LIKE
 
We fanya maskhara tu...utaishia kuwaolea wenzako...

Nimekupata nashukuru san nimependa ushaur ngoja niwapotezee mpaka ninunue hummer ndo nianze kufikiria kuoa kabla cjanunua gari kali zaid
 
Chuo hakuna mwanamke wa kuoa. Hao ni kugegeda tu. Rudi kijijini kwenu utafutiwe binti wa kuoa.


Ila kama unataka sekrepa chukua.
 
Badala ya kusoma unawaza uzinzi tu ...................na ungalie ndio mnaishia kupata magonjwa badala ya elimu
 
Maisha yachuo ukiwa mdhaifu utatoka kapa no elimu,kwaiyo ukiwa chuo masomo kwanza mapenzi badae,,soma kwanza alafu mke badae mjomba mbona warembo kilasiku wana zaliwa?,!!!jikaze

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kaka soma kwanza pasua GPA ya uhakika ukitaka endelea Masters utawakuta waliotulia au ukianza kazi utapata mliokuwa nao chuoni ambao nao wametulia kama wewe utaoa na kutulia kwa raha zako.

Sio chuoni tu ndiyo unapata mke, hata utakapoanza kazi unaweza kumkuta nyumba ya ibada, maofisini nk. Achana na maono ya kuku kuona hapa, uwe na maono ya ndege TAI kuona maili kadhaa.

Labda kaona aanzie jikoni wanakopikwa, lakini waswahili wanasema ukimchunguza sana bata hutokula yake.
 
Chuo hakuna mwanamke wa kuoa. Hao ni kugegeda tu. Rudi kijijini kwenu utafutiwe binti wa kuoa.


Ila kama unataka sekrepa chukua.


duuh nahic we wakugegeda san fresh lkn
 
Maisha yachuo ukiwa mdhaifu utatoka kapa no elimu,kwaiyo ukiwa chuo masomo kwanza mapenzi badae,,soma kwanza alafu mke badae mjomba mbona warembo kilasiku wana zaliwa?,!!!jikaze

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums


umenena ila mi nko nondo mbaya sana japo kimadesamadesa kiusawa wa elimu yetu
 
Badala ya kusoma unawaza uzinzi tu ...................na ungalie ndio mnaishia kupata magonjwa badala ya elimu

co kuwaza uzinz leo lilikuwa kupata mke so nlipoona hapatkani nkachange mind kupunguza mihemko
 
Unawasilisha nini sasa kama mambo yote unayajua msomi wewe kuwa specific na unachokiongea nini?
 
Dogo piga UE acha uhuni mbona wengi 2memaliza bila kuwa na wachumba wa kuoa baada ya kumaliza?
 
Back
Top Bottom