Maisha ya chuo bila mke!

Maisha ya chuo bila mke!

Hi wana jf! Katika moja ya vitu ambavyo cjawahi kufikiri ni kuishi kweny jamii wa wanawake wengi kama Udsm halafu utoke bila kupata mke wa kuish nae sas yamenikuta mana ndo namaliza na npo kweny mitihan ila nimejitahidi kuhakikisha na mpata m/ke wa kuishi nae ila kila ninaye mpata naona hanifai mara baada ya kubaini hata tabia mbovu moja tu sasa cjui nachagua sana na kudadisi kwing so nimeona nirudi jf nipeni ushauri nicje kuwa nachagua sana pia bint ambaye hajaolewa mwny sifa za wife material aniPM tu au akihitaji namba ntamtumia!. Nawaclisha

wanchekesha ... uliokuwa unawaona kwa macho wamekushinda sasa hawa usiowaona itakuwaje???? au ndio IMANI ni hakika ya mambo yatarajiwayo?
 
Hi wana jf! Katika moja ya vitu ambavyo cjawahi kufikiri ni kuishi kweny jamii wa wanawake wengi kama Udsm halafu utoke bila kupata mke wa kuish nae sas yamenikuta mana ndo namaliza na npo kweny mitihan ila nimejitahidi kuhakikisha na mpata m/ke wa kuishi nae ila kila ninaye mpata naona hanifai mara baada ya kubaini hata tabia mbovu moja tu sasa cjui nachagua sana na kudadisi kwing so nimeona nirudi jf nipeni ushauri nicje kuwa nachagua sana pia bint ambaye hajaolewa mwny sifa za wife material aniPM tu au akihitaji namba ntamtumia!. Nawaclisha
hahahahaha daaaah jembe hata wa kutoka kwenye kinjia cha kutoka library..mpaka kariakoo (time za usiku ) hujang'oa au umekaa bibo mkuu..? kama bibo kwenye shato..mkuu..?? ila kimsingi wengi ni hamna kitu we njoo tu kitaa huku...ingawa hutapata sehemu yenye sampuli nyingi kama ile..Long Live UDSM...!!!!!
 
Back
Top Bottom