Maisha ya Benaco na Rusumo pale Ngara

Maisha ya Benaco na Rusumo pale Ngara

serenge inaonesha u binadamu muungwana sana! Ipo siku nitakutafuta.
Ubarikiwe!
 
Leo tarehe 14/5/2017 nilikuwepo Kyerwa sehemu inaitwa nkenda, nimeshuhudia Maharage yameanza kufurika kwa wingi...mkwanja ninao na mzigo nauona hapa...masoko ndo yananiwangisha kichwa.. nahaha kutafuta masoko ya uhakika ili kujiingiza rasmi kwenye biashara nipige hela zangu. Kwa sasa niko Benaco najiandaa na route za kwenda kutafuta masoko then soon nirudi kyerwa nifunge tandamu.

Nimependa guest house ni elfu tatu mia tano...dirty cheap!

Mwaka huu lazima nitoke.


Leo tarehe 14/5/2017 nilikuwepo Kyerwa sehemu inaitwa nkenda, nimeshuhudia Maharage yameanza kufurika kwa wingi...mkwanja ninao na mzigo nauona hapa...masoko ndo yananiwangisha kichwa.. nahaha kutafuta masoko ya uhakika ili kujiingiza rasmi kwenye biashara nipige hela zangu. Kwa sasa niko Benaco najiandaa na route za kwenda kutafuta masoko then soon nirudi kyerwa nifunge tandamu.

Nimependa guest house ni elfu tatu mia tano...dirty cheap!

Mwaka huu lazima nitoke.
Pia Jitahidi kuwa makini hapo Nkwenda maana hako ka mji kana mzunguko wa Pesa sana hasa kipindi hiki cha msimu wa Maharage & Kahawa, usiwaamini sana watu wa hapo ni ka mji ka wapiga dili sana hivyo kuwa makini , ningekushauri uishi KAYANGA then shughuri zako ukawa unazifanya kutokea Kayanga , kwa Nkwenda ikawa Mara moja moja , maana kama umerizika kuanza na maharage ni mengi sana kipindi hiki Wilaya zote yapo ya kutosha, jitahidi pia kutembelea vijijini utapata kwa Bei nzuri zaidi kuliko hapo Nkwenda.
Tembelea Nyakatuntu, kasoni, kyerere, ruhita,kamuli, Rwabigaga,Bugomora,Kaisho & mabira kwa upande wa Wilaya ya kyerwa utapata kwa bei poa, pia kwa Wilaya ya karagwe maeneo ya Kiruruma, Kamagambo, kafunjo,rwambaizi etc, utapata mzigo wa kutosha.
Nakutakia kazi njema.
 
Maisha ni popote. Hata Benaco au Rusumo mtu anaweza kutengeneza pesa. Tusiwe na preconceived mind. Rusumo kama mtu ukipatumia vizuri kuna fursa nyingi kwenda na kutoka Rwanda.
 
Leo tarehe 14/5/2017 nilikuwepo Kyerwa sehemu inaitwa nkenda, nimeshuhudia Maharage yameanza kufurika kwa wingi...mkwanja ninao na mzigo nauona hapa...masoko ndo yananiwangisha kichwa.. nahaha kutafuta masoko ya uhakika ili kujiingiza rasmi kwenye biashara nipige hela zangu. Kwa sasa niko Benaco najiandaa na route za kwenda kutafuta masoko then soon nirudi kyerwa nifunge tandamu.

Nimependa guest house ni elfu tatu mia tano...dirty cheap!

Mwaka huu lazima nitoke.
Nadhani panaitwa Nkwenda mkuu!
 
Back
Top Bottom