Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
- Thread starter
- #21
Asee! Kwa maelezo yako Inaonekana hapo karagwe kuna mzunguko mkubwa wa pesa, muhimu mtaji uwepo.Ni mkoa Wa kagera mkuu, sehemu nzuri ya kufanya biashara ni Wilaya ya Karagwe na Kyerwa ,kwa mkoa huu ni Wilaya mhimu sana maana kuna misimu 3 , kuna msimu Wa Kahawa ambao huanza mwezi Wa 6 hadi Wa 9 , na unachanganya sana kwa mtaji wako huo unatosha sana kuanza angalau na Tani 10 za Kahawa unakuwa unaizungusha kwa muda Wa miezi mitatu unaweza ukasema ulichelewa kuanza maana inalipa, baada ya hapo kuna msimu Wa maharage mwezi Wa 9 hadi 11, after that kuna Kahawa awamu ya Pili ambayo huwa ni chache hiyo inaenda kuanzia Wa 12 hadi Wa kwanza, unatulia kidogo , mwezi Wa Tano na sita maharage yapo , yakiisha unaunga Kahawa, hiyo ndo hali halisi ya kyerwa na Karagwe boc
Ningependa kupata tahadhari muhimu za kuchukua kwenye hii biashara kutoka kwako mkuu!