Maisha ya Arusha sio

Mkuuu sing'isi kitaa chetu ni sehemu salama sana kwa sasa


Sing'isi huko wiz ndo umejaa kuanzia kwenye mashamba Yan Kama n mgen utaumia kagiza kakianza tuu hiace hazisimami wanajua wameru wanaeza fanya yao
 
hii
hii ndio chuga mzee
 
Arusha ya sikuhizi imepoa saana tena saana.

Rudi 2005 kwenda nyuma saa 12 kila mtu anawahi kwake.
 
Huko chuga kawaida sana.

Embu waje dar watembelee sehemu hizi

Mburahati ,vingunguti, gongo la mboto, chanika , ukonga moshi bar, yombo buza, mbagala , keko kitoroli , nk.
Yani dar ilivyokosa "USIRIAZ" mpaka ukitaja hiyo mitaa hatari mtu anadhani unamchekesha eti KITORORI...aisee mburahati apaelewa vizuri.
 
Arusha siku hizi hamna sana mambo ya kuchomana visu hata ujambazi umepungua au tuseme kuisha kabisa.

Zamani hukai siku hujasikia tukio la ujambazi na mtu kuuwawa. (Tutofautishe jambazi na kibaka). Matukio ya vibaka ni kawaida karibu kila mkoa TZ.

Issue ya bangi na miraa ni kawaida pia maana bangi kila mahali TZ inavutwa na miraa ni kwasababu tu inapatikana hapa jirani Kenya na Upareni ndio maana watu wa hapa wanatumia.

All in all Arusha ni sehemu nzuri tu na salama as long as unafata mambo yako. Hizi stroy mingi mingi ni exaggerations tu za watu ambao hata hawapajui Arusha.
 
Hahahaa
 
Haha huu uzi umenithibitishia msemo wa MTU KWAO kama kibwagizo cha mchoraji NATHAN MPANGALA pale ITV
 
Hii ndio Chuga arifu,ukizingua kidogo unapewa dozi,wanaume wa huku hawarembi kama wa Dar.
Unashangaa mjeda kuibiwa,haushangai wazee wa mzigo kwenda kupiga selfie kwenye kambi ya jeshi,hii Chuganistan.
Acha kusifia upuuzi mkuu!
 
Halafu Arusha maisha ya huku hayana uhalisia.Kiwanja cha 20X20 nje ya Mji unaweza uziwa hata mil10 kitu ambacho Dar au Mwanza unaweza pata kwa mil1 au 2.Barabara unaweza uziwa mil3.Thamani ya nyumba Arusha haina uhalisia kwa maisha ya sasa.Yaani kama vile haka kamji kapo Kenya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…