Maisha sio kubahatisha maisha ni kujituma na kukubali changamoto zote

Samily de cruze

JF-Expert Member
Jan 12, 2020
230
680
Wenda kijana mwenzangu kwa Siku nyingi na miaka mungu umekaa bila kugundua na kufikiria maisha yako ya mbeleni utafanya nini kufikia target yako.

Inaweza isiwe muhimu sana kwa mtazamo wa juu ila kaa ufikirie je nikwel au uongo.

Kufanikiwa maishani unaitaji vitu viwili;
>UJINGA
>UJASIRI

* Mtu anaweza akajiuliza au akaniuliza nina maana gani ninapo sema uwe mjinga na wakati katika "MAFANIKIO" unatakiwa usiwe "MJINGA" nina maana kwamba "katika maisha tunaishi na binadamu wenzetu na kawaida tupo tofauti katika mtazamo unaweza ikawa unayo malengo ambayo kwa mtazamo wako unaweza ona ni sahihi ila watu wanao kuzunguka Siku zote ndio huwa wabaya wako watakuwa wa kuku katisha tamaa na kukusonga" ila kumbuka;
Mtu aliyefanikiwa ni yule anaye jenga msingi kwa kutumia matofali aliyo rushiwa na watu wengine.

*na pia nikiongelea "UJASIRI"anafahamu kila mtu anajua nini maana ya ujasiri "mimi Siku we a kutofautisha neno 'ujasiri' na 'uvumilivu' maana Siku zote ukiwa jasiri uvumilivu' kwako ni kitu kidogo sana.

Pia ujasiri unaleta mambo yafuatayo;
>uvumilivu
>ushindi/mafanikio
>bidii

Haijalishi ni njia finyu ya kwenda mahali penye thamani bali kuna vitu vichache ambavyo ukivifanya utajikuta ukiwa unaona mlango wa mafanikio kuwa ni mpana ;- jitambue wewe ni nani
:- angalia njia ulio ichagua ina match na mienendo yako?
:- kuwa na marafiki wasio wanafiki
:- *mjue mungu*
mambo haya ukiyafa utajikuta unakuwa mtu fulani katika jamii ya wasomi
MWISHO
Nimekuwa nikitafuta vijana wenzangu wanao hitaji kujikwamua kutoka sehemu moja kwenda nyingine lakini wengi tunaogopa na kubaki kufikiria kwamba njia rahisi ni "KUBETI" pia kutumia kauli ya wengi "mtu fulani ashafanya kazi hiyo akafeli"Mpendwa haturuhusiwi kusimama bali tuna ruhusiwa kujaribu tena na tena

MAISHA SIO KUBAHATISHA MAISHA NI KUJITUMA NA KUKUBALI CHANGAMOTO ZOTE
Imeandaliwa na SAMWELY WALTER





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nijuavyo ujinga ni kutokujua,kutokuwa na uwelewa juu ya Jambo fulani ama kujidanganya,kwenda kinyume na uhalisia!!
Sasa kufanikiwa kunahitaji ujinga kivipi..? Unaweza kufanikiwa kama haupo informed..? Utatumia nini kichwani mwako ili ujue hapa unakosea au unapatia Kama unaujinga kichwani mwako..?

Mweka mada hebu toa ufafanuzi wa kielelezo cha haja utaangamiza watu shauli yako..!
 
Nijuavyo ujinga ni kutokujua,kutokuwa na uwelewa juu ya Jambo fulani ama kujidanganya,kwenda kinyume na uhalisia!!
Sasa kufanikiwa kunahitaji ujinga kivipi..? Unaweza kufanikiwa kama haupo informed..? Utatumia nini kichwani mwako ili ujue hapa unakosea au unapatia Kama unaujinga kichwani mwako..?

Mweka mada hebu toa ufafanuzi wa kielelezo cha haja utaangamiza watu shauli yako..!
Simaanishi kuwa kizibo Ila ujinga ninao maanisha hapa ni kwamba katika safari yako ya mafanikio unaweza ukakutana na vitu mbali mbali ambavyo haviitaji ujuaji kuna vijana wengine wanajikuta hawafanikiwi hiyo ni kwasababu ya kuleta ujuaji sana katika kitu Au jambo furani Kama ukijifanya mjinga Ni njia kubwa ya kukufanya wewe ugain kitu kutoka kea watu wenye weredi zaidi juu ya malengo yako na pia ukumbuke kuwa njia unayo taka kupita sio wewe tu unae taka kupita Ila wengi wamesha pita na wana ujuzi mkubwa

Katika maisha ujinga ni kitu cha kuondoa tukiwa tumesha kitumia kuleta mafanikio


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia chukua mfano kwa watu Kama JACK MA uyu jamaa alionekana mjinga na hakukubalika kabisa hadj shuleni pia alionekana hamnazo alisoma na kwenda kufanya interview Kati ya watu 34 walichaguliwa 33 na yeye tu ndio alie achwa Ila angalia sasa hivi ni moja ya ma actor wakubwa na pia ndiye mmiliki wa kampuni ya alibaba so ujinga ni njia ya mafanikio
Nijuavyo ujinga ni kutokujua,kutokuwa na uwelewa juu ya Jambo fulani ama kujidanganya,kwenda kinyume na uhalisia!!
Sasa kufanikiwa kunahitaji ujinga kivipi..? Unaweza kufanikiwa kama haupo informed..? Utatumia nini kichwani mwako ili ujue hapa unakosea au unapatia Kama unaujinga kichwani mwako..?

Mweka mada hebu toa ufafanuzi wa kielelezo cha haja utaangamiza watu shauli yako..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom