Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Life start at 40 Kama ujafika 40 usihofu, utajiri unaanzia 40
Hakuna shida au tatizo lolote jipya duniani nasi tulipita huko miaka 16 iliyopita tukasimama.Maisha yanazidi kunichachia kila kukicha, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa.
Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama (baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya kuandika barua ya ku-postpone maana nilishawahi ku-postpone lakini mambo hayakwenda vizuri hivyo nikaamua kuacha chuo.
Kwa sasa nahitaji angalau kupata kazi niingize japo elfu 7 kwa siku.
Mawazo ya kujiua yananiandama mara kwa mara ila ninapingana nayo kiume. Nina imani ipo siku nitafanikiwa.
Vaa smart ,nenda kwa vinyozi kajifunze hiyo kaziMaisha yanazidi kunichachia kila kukicha, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa.
Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama (baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya kuandika barua ya ku-postpone maana nilishawahi ku-postpone lakini mambo hayakwenda vizuri hivyo nikaamua kuacha chuo.
Kwa sasa nahitaji angalau kupata kazi niingize japo elfu 7 kwa siku.
Mawazo ya kujiua yananiandama mara kwa mara ila ninapingana nayo kiume. Nina imani ipo siku nitafanikiwa.
Mkuu nilikuwa na shughuli yangu nilikuwa naifanya, nilikuwa natumia nguvu na akili mingi sana, mambo yakaingiliana nikapata kesi ambayo sijui mbele wala nyuma. Yaani jambo limefanywa na mtu mwingine ila mawasiliano yangu kukutwa kwenye simu ya mhusika nikadakwa na Mimi.Maisha yanazidi kunichachia kila kukicha, nimetafuta sana kazi bila mafanikio yoyote mpaka ninahisi nimerogwa.
Mtaani thamani yangu imeshuka mno maaana nilipiga hatua kidogo ya kielimu ila nikakosa mtu wa kuniendeleza baada ya kufiwa na mama (baba yupo ila ni baba jina) hivyo nikakata tamaa ya kuandika barua ya ku-postpone maana nilishawahi ku-postpone lakini mambo hayakwenda vizuri hivyo nikaamua kuacha chuo.
Kwa sasa nahitaji angalau kupata kazi niingize japo elfu 7 kwa siku.
Mawazo ya kujiua yananiandama mara kwa mara ila ninapingana nayo kiume. Nina imani ipo siku nitafanikiwa.