Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,363
Zamani wadau wa humu wadada wa Dar walikuwa wanatriki zakumtoa mtupesa hadi jiji likaitwa Kaa chonjoo kisa wakina dada walivyowajanjaa nakuweka triks zakuwachukulia wakaka na wababa pesa unakupuliwa hadi unalia.
Unalaani hadi unasahau ila kwa sasa nitofauti wakaka ndio wanahongwa kila kitu tena hadi wao wanakataa.
Hii ni aibu kwa sababu kama mwanaume anapelekwa salon kwa hela ya mdada basi tena ndio maisha ni hataŕi danger.
Jingine kama mwanaume analia kisa hajatolewa outing na mwanamke hii sijui tuiteje . Eti ananuna kisa hajapewa allowance hii nikali unakula kwa hela ya mwanamke huna hata wasi wasi bado unafumaniwa na vichoka mbaya.
Hii hatari danger, sasa nilini mtautambua jinsia zenu msimame kama vijana kamilifu na kuhudumia wanawake zenu?
Seriously unazira kisa hujatolewa out zamani ni wakina dada ndio walikuwa wanafanya triks yakuwachuna wakaka leo wakaka ndio wanafanya tricks kuwa chuna wadada.
Seriously hii inasikitisha . 😎😎🤔😔😔 inasikitisha Ushimen hebu nisaidie
Unalaani hadi unasahau ila kwa sasa nitofauti wakaka ndio wanahongwa kila kitu tena hadi wao wanakataa.
Hii ni aibu kwa sababu kama mwanaume anapelekwa salon kwa hela ya mdada basi tena ndio maisha ni hataŕi danger.
Jingine kama mwanaume analia kisa hajatolewa outing na mwanamke hii sijui tuiteje . Eti ananuna kisa hajapewa allowance hii nikali unakula kwa hela ya mwanamke huna hata wasi wasi bado unafumaniwa na vichoka mbaya.
Hii hatari danger, sasa nilini mtautambua jinsia zenu msimame kama vijana kamilifu na kuhudumia wanawake zenu?
Seriously unazira kisa hujatolewa out zamani ni wakina dada ndio walikuwa wanafanya triks yakuwachuna wakaka leo wakaka ndio wanafanya tricks kuwa chuna wadada.
Seriously hii inasikitisha . 😎😎🤔😔😔 inasikitisha Ushimen hebu nisaidie