Maisha halisi ya Burundi

Niko njiani naelekea Bujumbura nadhani hii ni trip ya 7 kwa mwaka huu.
 
Wanakimbilia kigoma kutafuta vibarua vya kulima wakati waha wenyewe wanakimbilia vibarua vya kulima Tabora?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna kabila linaitwa Tutsi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Norshad nasikia wanapenda sana wanaume wa kibonge ni kweli.

Ni kweli kabisa! mfano mimi nilipewa papuchi na karibia ukoo mzima..ila kuna UKIMWI wa kutosha man na watoto wengi wamezaliwa nao..wengi wanakula Shudu! lakini kuna watoto wazuri sana kwa kuoa hasa walio ktk iman ya kiislam( hapa msinielewe vibaya )
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…