NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Kwa ujinga wa watanzania wanaona haya maigizo ni ya kweli? Maana huu mwaka wa uchaguzi tutaona mbwembwe nyingi za kufariji wananchi , baada ya uchaguzi hamuwaoni tena hadi miaka mitano watarudi na style ingine. Hivi ni viini macho kabisa! I hate unafiki huu na kupumbaza watu huku. Acha watu wajionee na watafakari si kuwapumbaza na uongo huu. Lol!
Ccm bila drama haiwzekani!
Ccm bila drama haiwzekani!