Maisha bila mkopo chuo yapoje?

Maisha bila mkopo chuo yapoje?

Decree Holder

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
2,559
Reaction score
3,747
Wanabodi naomba mwenye experience ya maisha bila mkopo chuo yapoje ili nipate angalau picha itakuwaje kwa hawa vijana ambao dalili za kukosa mkopo zimekwisha anza kujionesha.
 
kwa hawa vijana ...kumbe sio wewe jamaa ila life ni simple sana kama wazaz wako au mlezi wako akiwa na pesa za kutosha kukupatia ...utaenjoy kuliko hata ambao wana mkopo ....sometime kuna kupanga foleni za kusain bumu kwaio kama hauna mkopo hautapoteza muda kupanga foleni mara sijui kuwahi chuo kwenda kusaini bumu na usiposaini hupewi
 
kwa hawa vijana ...kumbe sio wewe jamaa ila life ni simple sana kama wazaz wako au mlezi wako akiwa na pesa za kutosha kukupatia ...utaenjoy kuliko hata ambao wana mkopo ....sometime kuna kupanga foleni za kusain bumu kwaio kama hauna mkopo hautapoteza muda kupanga foleni mara sijui kuwahi chuo kwenda kusaini bumu na usiposaini hupewi
Nimeileta hii thread kwa ajili ya vijana wa first year wapate walau picha mimi ni mkongwe mwaka wa tatu na nina mkopo nahitaji watu walioishi chuo bila mkopo watoe experience yao
 
wazo zuri mkuu..maana dah dalili sio nzuri hata kidogo
 
Maisha ya chuo bila mkopo ni sawa na kuanza safari kutoka dar hadi zenji kwa kutumia mtumbwi

Namaanisha uwezekano wa kumaliza safari upo ila unamalizaje hapo ndo mwanzo wa kila kitu.
Kiukweli huwezi kusoma chuo bila support ya pesa ni heri ufanye ujasiriamali ukipata salio unaenda

Unatakiwa kula, kuvaa, kuwa na accademic properties kama laptop note books huduma ya stationery pia poket money ya kutosha.
Sasa hebu nambie bila mkopo panatosha hapo?? Maana sometimes hata mkopo pia hautoshi kabisa

Bora mtu utafute mishe ujipange vinginevyo mtu ataishia kuwa changudoa au hata gay maana haya yapo vyuoni. So bila mkopo mambo hayawezekani atleast uwe na mdhamini au mzazi mwenye salio la kutosha pia na yeye atagharamia hadi atanyoosha mikono
 
Maisha bila mkopo yanawezekana japokuwa changamoto ni kubwa sana Mimi ni miongoni mwa watu ambao nilisoma bila mkopo lakini nilikuwa najishugulisha sana na Mishe Mishe mfano nilikuwa nafanya PC repair na nilikuwa napata pesa nzuri ya kujikimu. Kwahiyo kama kuna mtu atakosa mkopo namshauri akomae tu.
 
ni magumU mno maanA binafsi nilikomaa nayo kwa semister mojA then nikaamuA nirudI kitaA lakn kama nyumbani mbogA sabA unaweza ukasoma fresh
 
ni magumU mno maanA binafsi nilikomaa nayo kwa semister mojA then nikaamuA nirudI kitaA lakn kama nyumbani mbogA sabA unaweza ukasoma fresh
Vipi baadaye ulirudi tena?
 
Duuuh kwa haya maelezo bora nikatafute boda boda tu niendeshe angalau nitapata buku tano kwa cku.
Kulko kuripot chuo with no mkopo.
 
Back
Top Bottom