Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Ongezea mawakala walioondolewa vituoni kwa nguvu na wenye mamlaka bila kusahau makada wa chama kile waliopora masanduku ya kura na kutoweka nayo vituoni pasi kukamatwa!!! Achilia mbali "zile kura za maruhani!"Ni kweli lakini je baadhi ya mawakala wanaodai kufanyiwa fujo je hata kama vyama vyao vimetimiza wajibu inakuwaje.
Nasubiri kuona utendaji wa hawa wabunge wa hisani na maelekezo kwa watanzania...