johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Sherehe za Siku ya wanawake duniani kitaifa zinafanyika Zanzibar katika viwanja vya Maisara na mgeni rasmi ni Rais wa JMT mh Samia Suluhu Hassan.
Sherehe ziko mubashara ITV, TBC na Channel ten.
Wote mnakaribishwa.
Kwaresma njema!
Sherehe ziko mubashara ITV, TBC na Channel ten.
Wote mnakaribishwa.
Kwaresma njema!