JPM ni ccm, usiwe boya kadri tunavyoishi mahitaji yanaongezeka hivyo wakifikisha asilimia 100. Ipo siku hiyo asilimia mia itaonekana imepungua kutokana na idadi ya watu kuongezeka therefore lazima kuongeza kiwango cha upatikanajiIvi JPM alitoka chama gani vile? Sasa unamaanisha ile miaka kabla ya JPM ilipotea bure? Au miaka hiyo serikali ilikuwa inaongozwa na UDP?