Maige: CCM itakufa

Anasahau tu kuwa yeye ni miongoni mwa waliochangia kuiua.
 
Mnafiki mkubwa Maige,unabwabwaja kama mwanamke wa uswahilini,kama unaona chama chako hakikufai basi ondoka si unakaa kulalama bila kuchukua hatua.



Ulichomwambia haitosho kbs!
Yeye anaona hali ilivyo anabaki kubwabwaja si aangushe zigo?
Wanyama wameuza si atoboe siri ilivyokuwa mpaka Twiga na wanyama wengine walivyofika Ughaibuni?



Movement For Change haimwachi hata mmoja kudadeki!
 
CHADEMA msimpe nafasi huyu kama atataka kuhamia kwa kuwa hana uzalendo na hawezi kukubali kuachia nafasi ili ufanisi upatikane, ni mng'ang'anizi wa madaraka, akafie mbali.
 

Maige anaanza kujifunza sanaa ukubwani!! Kama ndani ya chama chake cha "NyinyiEM" walimnyima nafasi ya kujieleza read KUJITETEA; kwa nini asitumie fursa hii ya kurejea kwake jimboni kuwaeleza wapiga kura wake ukweli kuhusu sakata zima? awaeleze dola laki 7 (410 according to him) nini siri yake badala ya kumlaumu Lembeli; ajifunze kutoka CDM ambayo alitumia fursa hiyo kuisifia sana organisational capabiolity yake; tukitendewa ndivyo sivyo na kuzomewa viongozi wetu hupeleka kesi kwa wananchi, kwa nini yeye asifanye hivyo kwenye hadhara hiyo. msanii tu. sasa asubiri kupandishwa kizimbani mpaka kieleweke. umma ujue kijana mdogo kama yeye na uwaziri wa miaka 3 kapata wapi dola laki 4?!
 
mbona ulikuwa haujatueleza,yaani ukikoswa uwaziri hapohapo na ccm inakufa.....................
 
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele

naamin IPO SIKU ATAPIGA CHAFYA,,,,,kuntaja alotorosha wanyama pale KIA
 
Kwa hili Maige amenishangaza sana, yaani baada ya kutoswa uwaziri unasema CCM itakufa. Kwani CCM inategemea wizara ya Maliasili kujiendesha..au vile vitalu na twiga waliopanda ndege ilikuwa kwa ajili ya CCM.
Mawaziri kama hawa hawafai coz hawajui maana ya uwajibikaji, ninaamini uwajibikaji ni nyenzo muhimu sana katika siasa unapoona mambo hayaendi kama ulivyokuwa unataka unaachia ngazi hapo tutakuona shujaa na siyo mpaka utoswe then useme wewe bado ni shujaa. Ungeyaongea haya baada ya kujiuzulu mwenyewe ingekuwa na maana lakini coz umepigwa chini then unaona chama kitakufa hapa hufai hata kuwepo kwenye siasa.
 
Wakati anapewa uwaziri akakenea mene 32 nje hakujua chama kinakufa shwain

Sizitaki mbichi hizi
 
Kwa nini hajaleta utalii wa bahari ya Tanzania bara isiokuwa mahoteli, tungewapunguzia watalii wa beach zanzibar manake ndio wanaowapa jeuri
 
Pwani ya bara ni tupu na ni pottencial kubwa ambayo hatujaitumia
 
pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm usibanane kwenye hako kabito ambacho kila m2 anataka kua dereva au akae siti ya mbele

teh!teh!....ya nini kubanana wakati mungu katupa maccopolo tunashindwa kuitumia tu.....maigeeee wakati ndio huu baadae hutapata nafasi
 
Mzee wagobe upooo au mkuki kwa nguruwe mtam kwa binadam mchungu?.
 
Maige ni Mbunge wangu ni mchapa kazi kweli,
ila NAMUUNGA MKONO na tunakaaahame chama kwenda CHADEMA NA BADO TUNAMPENDA[






QUOTE=Pharaoh;3954360]Kwa nini hajaleta utalii wa bahari ya Tanzania bara isiokuwa mahoteli, tungewapunguzia watalii wa beach zanzibar manake ndio wanaowapa jeuri[/QUOTE]
 

Hawa ndiyo viongozi wenye uroho wa Madaraka wasiyotakiwa. Ina maana katika Mawaziri walioachwa yeye ndo amefanyiwa majungu? na Mbona hakusema ni majungu kabla hajawajibishwa?
 
[/QUOTE]
Mbunge wako baada ya kutemwa siyo, na mbona wewe ulikuwa wa kwanza hapa JF achukuliwe hatua. Mdanganyeni huyo fisadi kwa maneno ya kukkejeli, tuone mwisho wake. Hivi anafikiri kulalama wananchi wake watamsamehe? Labda aende kule wanakopokelewa walioshindikana manake kule hakuna sisa tena bali ulaghai mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…