Mahusiano

Mahusiano

Hawafanikiwi, kwa sababu wadada wengi wa jf wakiwa nyuma ya keyboard wanaongea utadhani wazuri kweli, sasa subiri ukutane nao, sura kaa ya mbuzi, miguu spoko za baiskeli, huku nyuma ni flat screen,,,utaoa kweli hapo?!!!! Mdada anakunywa pombe utadhani yupo kwenye mashindano....
Asante kwa kuweka wazi ukweli uliowashinda wengi..!
 
Hawafanikiwi, kwa sababu wadada wengi wa jf wakiwa nyuma ya keyboard wanaongea utadhani wazuri kweli, sasa subiri ukutane nao, sura kaa ya mbuzi, miguu spoko za baiskeli, huku nyuma ni flat screen,,,utaoa kweli hapo?!!!! Mdada anakunywa pombe utadhani yupo kwenye mashindano....

Hatari sana Sheikh
 
Tatizo ni kwamba wasipofanikiwa wanakuja kulalamika...

Wakifanikiwa wanapotea...


Cc: mahondaw
 
Nawewe jaribu kutafuta utaona kama wanapatika ama awapatikan
 
Wachumba huku hakuna wewe kijana mbona huko makanisani, msikitini, bar, sokoni, barabarani wake wapo wengi sana
 
Back
Top Bottom