Mahusiano ya Tanzania na Marekani

Mahusiano ya Tanzania na Marekani

ni ishara ya kuwa niko tyr kumkabidhi bandar zote jet Lee kama ilivoada maaana sina jinsi na siwezi kupata hiyo jinsi()
 
Sisi saizi tuko na Rwanda, tunaendelea kupata uzoefu wakupambana na upinzani.
 
Huwezi kuona Waziri wa Mambo za Nje wa Tanzania kwenda Kenya kuonana na Tillerson watakuwa wame to underrate
Dr Mahiga alikwenda Uganda kwa ajili ya kuonana na Netanyahu.
 
Lipo wazi china anakupa mkopo mkubwa ukishindwa kulipa kwa mda anachukua bandari kama alivyo chukua gasi ya mtwara
Kumbe ni hivyo!
Tusaidie kidogo maelezo zaidi amechukuaje gas ya Mtwara?

Mimi nilikuwa sijui hili jambo kuhusu gas.
 
Lipo wazi china anakupa mkopo mkubwa ukishindwa kulipa kwa mda anachukua bandari kama alivyo chukua gasi ya mtwara
*China Through SGR To Take Over Mombasa Port*

March 7, 2018



Over the last couple of weeks, news that China had taken ownership of a major Port in Sri Lanka was trending in Kenya for all the wrong reasons and biggest of all was fear.

Sri Lanka had taken too much debt from China to invest in infrastructure and started having issues with the payments.

The New York Times reports;

Struggling to pay its debt to Chinese firms, the nation of Sri Lanka formally handed over the strategic port of Hambantota to China on a 99-year lease last week, in a deal that government critics have said threatens the country’s sovereignty.

Kenya built the SGR from Mombasa to Nairobi at a *highly inflated cost of 327 billion*.

*Economic experts at the time had advised the government to instead spend a mere 16 billion and do the same job.*

Against all the bravado and digitization PR the government could master, it went ahead in constructing a whole new line at that inflated cost. *Other countries achieved much faster trains and more modern technologies for much less $$.*

*Now here is the problem, the loan for the construction of the SGR was actually insured by the Mombasa Port. A deal was agreed to that the port will provide business to the SGR.*

KPA is required to provide at least 6Million Tonnes annually to SGR or pay the difference where a shortfall occurs.

Because of this, a decree was issued that all containers destined for Nairobi and beyond will be transported by the SGR to the ICD in Nairobi for clearance. Problem is that the numbers are not working.

The passenger numbers expected cannot sustain running of the SGR passenger service. What this has resulted is increase in fares from the initial Sh 700 to now Sh1200 and numbers still dont add up.

The containers too are not working out. Aside from the big inconvenience to importers and the massive losses of jobs in Mombasa, the containers do not make enough to sustain the project.

*The SGR debt cannot be paid by the operations of the SGR itself (both the containers and passengers) and KPA cannot pay the difference as the funds are just not there.*

*So at the end, Kenya now faces the same situation as Sri Lanka, the Port was used as collateral and the option of leasing the management of the Port and SGR to China to offset the debt is becoming more real by the day.*
 
Unaamin nn ndugu ni kwamba huna uwezo wakujitegemea na ukafanya vizur au kuna makosa yalifanyika kipind tunajitegemea?

Ww n mmoja ya wale walikuwa kwenye target ya mwl. JKN kuwa kizazi kisomi chenye akili watakaokuja kuchimba madini yao wenyew baada ya kugoma mikataba na wazungu ndio umekata tamaa hv?

75% ya waafrika ni vijana tunatakiwa kubadili mindset zetu kuwa Afrika inatuitaji tuitendee haki sahau mzungu hajawah kumtendea haki
JIAMIN JIONGOZE
Kwa aina hii ya viongozi wa kiafrika sahauni kabisa kuja kutegemea eti kuna siku Afrika itasimama. Viongozi wanaojenga vigenge vya watu wao kuwaongoza wengine halafu wanawapigisha magoti mamilioni ya waafrika wengine ili wawasujudie wale wateule wachache!
Viongozi wanapojigeuza watawala ni hatari sana na watawala hawa walicho fanikiwa kukijenga ni hivyo vikundi, ambavyo vimejigeuza miungu fulani hivi. Tanzania ya sasa haina future. Sababu atakayefuata lazima aanze kuibomoa upya
 
Dr Mahiga alikwenda Uganda kwa ajili ya kuonana na Netanyahu.
Tanzania ilikuwa ikiheshimika sana kimataifa kwa Waziri wa Mambo za Nje wa Tanzania kwenda Uganda kuonana na Netanyahu haikuwa sahihi. Unajua kwa mara ya kwanza viongozi wawili wa Marekani Obama na Bush walikutana hapa Tanzania kwa ziara.

 
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Rex Tillerson anakuja Afrika. Atatembelea Chad, Djibouti, Ethiopia, Nigeria Kenya. Labda akiwa kenya atapata fursa ya kuonana na Waziri mwenzake Dr Mahiga katika harakati za kuimarisha uhusiano.
kwa nn asije huku
 
Tanzania ilikuwa ikiheshimika sana kimataifa kwa Waziri wa Mambo za Nje wa Tanzania kwenda Uganda kuonana na Netanyahu haikuwa sahihi. Unajua kwa mara ya kwanza viongozi wawili wa Marekani Obama na Bush walikutana hapa Tanzania kwa ziara.


Sawa Mkuu
 
Taifa kubwa ni Urusi ikifuatiwa na China. Sisi hatuwezi kutengwa sisi tunatenga!! Pia tunaweza tukawa tuna reset our foreign policy ili iendane na wakati katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania.
 
Huu ni umaskini mkubwa wa mawazo inanishangaza kuona mtanzania aliyekuwa anapinga ukoloni maomboleo anamlilia mzungu amtawale.
Wewe ndiye maskini wa mawazo, tofautisha ushirikiano/ uhusiano wa kimataifa na ukoloni mamboleo.
 
Huwezi kuona Waziri wa Mambo za Nje wa Tanzania kwenda Kenya kuonana na Tillerson watakuwa wame to underrate
Obama alipokuja Tanzania kabla ya Kenya alimaanisha nini naomba msaada mtaalam wa masuala ya kimataifa
 
Obama alipokuja Tanzania kabla ya Kenya alimaanisha nini naomba msaada mtaalam wa masuala ya kimataifa
Mahusiano ya Tanzania na Marekani wakati wa Bush yariimarika sana haswa baada ya kampuni ya Barrick Gold ku invest hapa Tanzania Rais Obama alikuja hapa Tanzania kwanza kwa ajili hiyo.

Bush to head Barrick special panel
 
vyandarua symbion hamna LA maana ziara za hawa Jamaa ni wezi kama wengine tuu. waende huko huko vyandarua vyao nafugia vifalanga
 
Demokrasia yetu hapa ndani kwa sasa ni mbaya sana hata huko nje wanajua ndio maana hawavutiwi
 
Back
Top Bottom