Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 2,021
- 2,442
Uhusiano wa marekani na tanzania haujawahi kuimrika hata siku moja. Marekani inafanya urafiki na nchi endapo tu hiyo nchi hiyo itakubali kunyonywa, so kama hawana maslah hawahitaji urafiki na nchi yoyote. So usichekelee kuimarika kwa uhusiano na hao majizi wa kimataifa. Maana nchi ambayo ina uhusiano mzuri hata wananchi wake huwa na visa free kutembelea hiyo nchi. Ila omba visa ya marekani utazungushwa na utakaguliwa mpaka matakoni utadhani unaenda peponi