Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Kipindi cha awamu ya utawala wa tatu na nne tuliona mahusiano ya Tanzania na Marekani ikiimarika sana. Marais wastaafu Clinton, Bush na Obama wote walifanya ziara hapa nchini Tanzania kwa wakati tofauti na mikataba mingi ya ushirikiano kati ya Marekani na Tanzania ilisainiwa ikiwemo na msaada wa Marekani kwa sekta ya afya. Waziri wa Mambo za Nje wa Marekani anafanya ziara barani Afrika na katika ziara yake hiyo hatazuru Tanzania tofauti na watangulizi wake wengine John Kelly, Condolazee Rice na Hillary Clinton, ambao walizuru Tanzania kwa wakati tofauti pia. Toka serikali ya awamu ya tano kuingia Marekani hakuna kiongozi wa ngazi ya juu wa Marekani aliyezuru Tanzania mbali na mpango wa Marekani kutaka kuiwekea vikwazo Tanzania. Je hii ni dalili ya Tanzania kutengwa na taifa hili kubwa duniani na nini sababu kubwa.
Press Release: President Clinton and President Benjamin Mkapa to Announce Mkapa Medical Fellows Program
Bush discusses African crises, praises Tanzania
Barack Obama arrives to warm welcome in Tanzania - and a surprise
Press Release: President Clinton and President Benjamin Mkapa to Announce Mkapa Medical Fellows Program
Bush discusses African crises, praises Tanzania
Barack Obama arrives to warm welcome in Tanzania - and a surprise