YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Umekumbuka nini shosti?
Umenikwaza, rekebisha na mshamba_hachekwi harakababa T
sijakudanganya babe,atakujibu yeye mwenyewe



Kwani hapa lengo la uzi ni chanzo cha ugomvi? Nitafungua uzi kabisa mkuu. Naamini kuna la kujifunzaHii story haitakuwa na maana yoyote kama hukutaja chanzo cha ugomvi wenu.
Daah shemu nisamehe tu mimi,cute wife ananiponza



unaanza kunirushia mpira shouga anguuuu khaaaaaaa!!!!shemeji yako nimemuuzi banaunaanza kunirushia mpira shouga anguuuu khaaaaaaa!!!!
Hahahaha, chai sio![]()

shemeji yako nimemuuzi bana




Nimekusamehe, japo umenivua nguo mkenisamehe mume wangu
Nimevuta Bench kabisa. Ndio Namna pekee ya kuongeza siku.Karibu tupunguze stress za maboss
😍😍😍nisamehe mume wangu
thnx dear![]()
Napenda sana mke akiwa humble hivi kwa mumewe...
Umeviimba😂😂thnx dear
Ulikutana na nini hadi tuanze kukupa maji Cute😀😀maake kwanza nicheke!!!
Nipeni maji ninywe kwanza, hebu nisikitike kidogo