Mimi hili swala la umbali huwa nalikataa kabisa. Hizi ni tabia tu za watu, umbali has nithing to do nazo.
Hizi justifications za kiuana harakati hizi ambazo zinamlemaza na kumdekeza mwanadam ndiyo zinazoibomoa jamii na dunia.
Huko tuendako wanaotetea umbali watakuja kutuaminisha kwamba, ni sahihi kwa wafungwa kulawitiana sababu wametengwa na hawaruhusiwi kuonana na wanawake, yaani hawapewi fursa ya kufanya mapenzi.