Mahusiano na UKIMWI.

Mahusiano na UKIMWI.

Ndoa ya mkataba sio suruhisho hata kidogo..swala ni kubadilli tabia tu ..ukiwa na tabia za uzinzi hata huko kwenye Contract utaendelea nayo.. Cha msingi wakati unataka kufanya kitu ni kuchukua muda kufikiria Faida/hasara zake .. Obviously hasara ni kubwa kuliko faida ..
festiledi wani sikia,
tuwe wakweli na tuende straight to the material facts..........
swala la kubadili tabia kwa mwanamume ni kama halipo.mi nashauri wanawake wasisitize sana matumizi ya condoms kwa waume zao pindi wanapotembea nje
 
Geoff,chrispin na Kaizer toeni michango yenu hapa this time mje bila hangover na weekend ..
 
Ndoa ya mkataba sio suruhisho hata kidogo..swala ni kubadilli tabia tu ..ukiwa na tabia za uzinzi hata huko kwenye Contract utaendelea nayo.. Cha msingi wakati unataka kufanya kitu ni kuchukua muda kufikiria Faida/hasara zake .. Obviously hasara ni kubwa kuliko faida ..
Mdada kweli umenena but mbona tumeshaimbiwa sana kuhusu kubadili tabia imeshindikana? Kina Tacaids na NACP weshaimba saana lakini bado suala la uaminifu limegonga ukuta watu siku hizi hawamwogopi hata Mungu yaani ni maovu kwa kwenda mbele!!

So ndoa za mkataba bado zinaweza zisiwe suluhisho katika hili........... tumeirule out

2. Kuhimiza utumiaji wa kinga kati ya wana ndoa/wapenzi (at least wengi wetu tunaiunga mkono) but je inawezekana?
 
WOS
Wewe vp umeolewa? unatumia kinga na mwenzi wako? Hamna haja ya watoto? Au sijui mambo haya mnayapelekaje embu tushauriane zaidi kama watu wa kwenye ndoa!
Renegade,
Gone are the days when we were shy about HIV/AIDS facts.... sasa hivi ni ulimwengu mwingine wa kujadiLI kwa ukweli NA UWAZI bila unafiki.
Ni UCHAGUZI NA UAMUZI wa mtu binafsi na wala siyo lazima.Fikiria yafuatayo:
1. Maambukizi mengi zaidi au kitakwimu wanandoa ndio wanaoongoza kwa maambukizi ya UKIMWI
2.Wanandoa hawako immune kuambukizwa ati kwa vile wana leseni ya kujamiiana!
3. Wanadoa wako vulnerable to infidelity maana kwa kuoana hawapotezi ubinadamu wao ( udhaifu n.k.)
4. Kama wanandoa hawako waaminifu chances are kosa la mmojawapo ni hatari kwa mwingine aliye innocent.
5. Kwamba wana ndoa wanahitaji kuzaa si hoja ya kuambukizana UKIMWI
6. Kufuatana na sheria ya HAPCAT 2008 ( HIV/AIDS -( Prevention and Control Act) Kumwambukiza mwingine kwa makusudi ni kosa la jinai! Pia sheria hii inatutaka kila mmoja awe responsible kujilinda dhidi ya maambukizi.
7. Kuzaa ni jambo jema.Je wewe mwenye ndoa unapima kabla ya kutafuta mtoto? Kama jibu ni hapana, ukizaa mtoto mwenye maambukizi huoni unamkosea sana huyo mwanao? Kama utazaa na kuhakikisha unafuata PMTCT ( kuzuia maambukizi kutoka mama kwenda kwa mtoto)- je huoni ni busara uendelee kujikinga ili uishi maisha marefu umtunze mwanao? Kumbuka ngono isiyo na kinga baina ya wanandoa pia ni hatari hata kama wote mmeambukizwa tayari!

HIVYO NDUGU ZANGU, BILA KUTAKA YA UNDANI ZAIDI - JIKINGENI!
 
festiledi wani sikia,
tuwe wakweli na tuende straight to the material facts..........
swala la kubadili tabia kwa mwanamume ni kama halipo.mi nashauri wanawake wasisitize sana matumizi ya condoms kwa waume zao pindi wanapotembea nje
Cousin habari ya miaka?? Mshiki hajambo?


Haya wewe umetufumbua macho haya inakuwa ngumu kwenu kukubali sasa tuwafanyeje jamani? Hata tukikubembelezeni kwa kubana pua??

je unaonaje kina mama ni rahisi kukubali kuzivaa?
 
wos na imani umeolewa ningependa kujua ni njia gani unatumia na shemeji yetu hasa nikikumbuka maandiko yameandikwa sasa mmekuwa mwili mmoja...
Je ni sababu ipi imekufanya na mzee mtumie condoms
1.kujikinga na ukimwi?
2.uzazi wa mpango ama..?
Au

Ni PM nitakumwagia mwanakwetu!
 
Najaribu kuangalia maongezi ya Geoff na Wife wake mama Manka ...
*mme wangu mpendwa nina maongezi na wewe leo
*Hakuna shida wife maongezi gani tena mama Manka?
*mme wangu ni maongezi ya kawaida tu kuhusu future yetu
Ok wife ndio hapo nakupenda nahisi ni swala la ujasiriamali eeh?
No Baba Manka sio hivyo ni kuhusiana na huu ugonjwa mpya wa kisasa..Juliana ,Ukimwi,Aids au jina mtaani Ngoma
Mme wangu sijui unaonaje kama tukianza kutumia protection ila tuepukane na maambukizi ya hili Gonjwa la Ukimwi pia kusaidia uzazi wa mpango..
ooh kwa hiyo huniamini mama Manka swala la uzazi wa mpango tulishaongelea na sasa si unatumia nanihii...au??
No si hivyo Dear unajua sisi ni Binadamu tunaweza kujikwaa na kuteleza
Oooh ok kumbe wewe huwa unajikwaa na kuteleza eeeh au unamaanisha nini??
Kwanza haya maneno umetoa wapi we mwanamke ?
Ina maana huniamini eeeh .......?
Ni nani huyo anayekuzuzua mpaka leo uanze kuniambia kutumia Condoms mie ?
Mke wangu ndio maana tabia yako imebadirika kumbe umeshaanza mambo yako..
Kwa hasira baba manka anaenda kuchukua therengeti therengeti kwenye Fridge na kuacha issue ikiwa Pending
:gossip:

 
Hakuna group salama kwa ukimwi. La muhimu ni watu kujua kwamba ukimwi upo na unaua, tuache NGONO NZEMBE
 
hapo mama unatupeleka porini.........

SAWA GEOF...nimeshauri matumizi ya kinga ikawa nongwa kuwa nawapeleka porini

festiledi wani sikia,
tuwe wakweli na tuende straight to the material facts..........
swala la kubadili tabia kwa mwanamume ni kama halipo.mi nashauri wanawake wasisitize sana matumizi ya condoms kwa waume zao pindi wanapotembea nje
NA HAPA WEWE UMETUPELEKA KWENYE CHAKA?
Hebu tuwe wakweli jamani!
 
Mdada kweli umenena but mbona tumeshaimbiwa sana kuhusu kubadili tabia imeshindikana? Kina Tacaids na NACP weshaimba saana lakini bado suala la uaminifu limegonga ukuta watu siku hizi hawamwogopi hata Mungu yaani ni maovu kwa kwenda mbele!!

So ndoa za mkataba bado zinaweza zisiwe suluhisho katika hili........... tumeirule out

2. Kuhimiza utumiaji wa kinga kati ya wana ndoa/wapenzi (at least wengi wetu tunaiunga mkono) but je inawezekana?

labda kwa vile ni mkataba unamwambia mheshiwa kuanzi mwanzo wa mkataba mpaka mwisho wa mkataba tutatumia Condoms ..kimaandishi:rofl:
 
festiledi wani sikia,
tuwe wakweli na tuende straight to the material facts..........
swala la kubadili tabia kwa mwanamume ni kama halipo.mi nashauri wanawake wasisitize sana matumizi ya condoms kwa waume zao pindi wanapotembea nje

ahha this is the problem with you MEN... why dont u tell them men to use condoms wakitembea nje and save us headache... na akikataa kutumia hiyo condoms... r u gonna force him? and how long atatumia hiyo kitu? forever?
 
Najaribu kuangalia maongezi ya Geoff na Wife wake mama Manka ...
*mme wangu mpendwa nina maongezi na wewe leo
*Hakuna shida wife maongezi gani tena mama Manka?
*mme wangu ni maongezi ya kawaida tu kuhusu future yetu
Ok wife ndio hapo nakupenda nahisi ni swala la ujasiriamali eeh?
No Baba Manka sio hivyo ni kuhusiana na huu ugonjwa mpya wa kisasa..Juliana ,Ukimwi,Aids au jina mtaani Ngoma
Mme wangu sijui unaonaje kama tukianza kutumia protection ila tuepukane na maambukizi ya hili Gonjwa la Ukimwi pia kusaidia uzazi wa mpango..
ooh kwa hiyo huniamini mama Manka swala la uzazi wa mpango tulishaongelea na sasa si unatumia nanihii...au??
No si hivyo Dear unajua sisi ni Binadamu tunaweza kujikwaa na kuteleza
Oooh ok kumbe wewe huwa unajikwaa na kuteleza eeeh au unamaanisha nini??
Kwanza haya maneno umetoa wapi we mwanamke ?
Ina maana huniamini eeeh .......?
Ni nani huyo anayekuzuzua mpaka leo uanze kuniambia kutumia Condoms mie ?
Mke wangu ndio maana tabia yako imebadirika kumbe umeshaanza mambo yako..
Kwa hasira baba manka anaenda kuchukua therengeti therengeti kwenye Fridge na kuacha issue ikiwa Pending
:gossip:


HIKI NDICHO KILICHOMO KWENYE NDOA NYINGI.

Kwa vyovyote huwezi kuanzia mazungumzo hapo wala kuzuka from nowhere na hiyo topic!.....
 
Najaribu kuangalia maongezi ya Geoff na Wife wake mama Manka ...
*mme wangu mpendwa nina maongezi na wewe leo
*Hakuna shida wife maongezi gani tena mama Manka?
*mme wangu ni maongezi ya kawaida tu kuhusu future yetu
Ok wife ndio hapo nakupenda nahisi ni swala la ujasiriamali eeh?
No Baba Manka sio hivyo ni kuhusiana na huu ugonjwa mpya wa kisasa..Juliana ,Ukimwi,Aids au jina mtaani Ngoma
Mme wangu sijui unaonaje kama tukianza kutumia protection ila tuepukane na maambukizi ya hili Gonjwa la Ukimwi pia kusaidia uzazi wa mpango..
ooh kwa hiyo huniamini mama Manka swala la uzazi wa mpango tulishaongelea na sasa si unatumia nanihii...au??
No si hivyo Dear unajua sisi ni Binadamu tunaweza kujikwaa na kuteleza
Oooh ok kumbe wewe huwa unajikwaa na kuteleza eeeh au unamaanisha nini??
Kwanza haya maneno umetoa wapi we mwanamke ?
Ina maana huniamini eeeh .......?
Ni nani huyo anayekuzuzua mpaka leo uanze kuniambia kutumia Condoms mie ?
Mke wangu ndio maana tabia yako imebadirika kumbe umeshaanza mambo yako..
Kwa hasira baba manka anaenda kuchukua therengeti therengeti kwenye Fridge na kuacha issue ikiwa Pending
:gossip:

Good one LAdy hhaha
 
SAWA GEOF...nimeshauri matumizi ya kinga ika nongwa kuwa nawapeleka porini


NA HAPA WEWE UMETUPELEKA KWANYE CHAKA?
Hebu tuwe wakweli jamani!
YAANI NDANI YA NDOA NITUMIE KONDOM?
na nikitoka nje ya ndoa nifanyeje?
 
YAANI NDANI YA NDOA NITUMIE KONDOM?
na nikitoka nje ya ndoa nifanyeje?


ukweli ni kwamba hata huko nje mnatumia mara mbili ya tatu mnaziweka kando...hakuna jema.
 
Renegade,
Gone are the days when we were shy about HIV/AIDS facts.... sasa hivi ni ulimwengu mwingine wa kujadiLI kwa ukweli NA UWAZI bila unafiki.
Ni UCHAGUZI NA UAMUZI wa mtu binafsi na wala siyo lazima.Fikiria yafuatayo:
1. Maambukizi mengi zaidi au kitakwimu wanandoa ndio wanaoongoza kwa maambukizi ya UKIMWI
2.Wanandoa hawako immune kuambukizwa ati kwa vile wana leseni ya kujamiiana!
3. Wanadoa wako vulnerable to infidelity maana kwa kuoana hawapotezi ubinadamu wao ( udhaifu n.k.)
4. Kama wanandoa hawako waaminifu chances are kosa la mmojawapo ni hatari kwa mwingine aliye innocent.
5. Kwamba wana ndoa wanahitaji kuzaa si hoja ya kuambukizana UKIMWI
6. Kufuatana na sheria ya HAPCAT 2008 ( HIV/AIDS -( Prevention and Control Act) Kumwambukiza mwingine kwa makusudi ni kosa la jinai! Pia sheria hii inatutaka kila mmoja awe responsible kujilinda dhidi ya maambukizi.
7. Kuzaa ni jambo jema.Je wewe mwenye ndoa unapima kabla ya kutafuta mtoto? Kama jibu ni hapana, ukizaa mtoto mwenye maambukizi huoni unamkosea sana huyo mwanao? Kama utazaa na kuhakikisha unafuata PMTCT ( kuzuia maambukizi kutoka mama kwenda kwa mtoto)- je huoni ni busara uendelee kujikinga ili uishi maisha marefu umtunze mwanao? Kumbuka ngono isiyo na kinga baina ya wanandoa pia ni hatari hata kama wote mmeambukizwa tayari!

HIVYO NDUGU ZANGU, BILA KUTAKA YA UNDANI ZAIDI - JIKINGENI!

Need I Say More!!
 
nachokiona hapo ni watu wanaoogopa kufa means hawako tayari kwenda makao mapya..YERUSALAEMU MPYA...aka ..MBINGUNI. Kam kufa ndio njia ya kwenda mbinguni ambako maandiko yanasema ni kuzuri sanaaaa...sasa iweje munaogopa KUFA?...mnasingizia ukimwi mara ohooo...sijui nini niniii...mbona malaria na cancer ndio magonjwa yanayotisha na kua watu wengi kuliko ngoma hamyajadili hata kidogo...ACHENI WOGA WA KIFO...MAANA KWA KIFO NDPO TUTAMFUATA BWANA KATIKA MAKAZI ALOKWENDA KUTUANDALIA....

ni maoni tu wadau
 
festiledi wani sikia,
tuwe wakweli na tuende straight to the material facts..........
swala la kubadili tabia kwa mwanamume ni kama halipo.mi nashauri wanawake wasisitize sana matumizi ya condoms kwa waume zao pindi wanapotembea nje


kwanini tucctiziane uzinzi? kwamba nikusaidie kutembea nje, hiyo ni kazi ya ziada, ukitembea huko nje tumia akili zako za kuzaliwa bila hivyo ndio hivyo tena tunauwana kimya kimya...na hata nikicctiza nina hakika gani kama unazitumia?
 
Back
Top Bottom