Hahaaaaa!! Hata mimi mchoyo kwa wachoyo, kwakuwa umeomba uchumba nipe sababu ya kukupa uchumba.
Unapewa bure ila unakitunza kwa gharama.mbona umeanza interview mapema?
wamakonde wanasema'kitu ulichopewa bure na mungu kumnyima mtu sio vizuri'
labda unipe sasa ili kitunzwe bila stress...Unapewa bure ila unakitunza kwa gharama.
labda unipe sasa ili kitunzwe bila stress...
stress lazima ziwepo maana mwenye nacho anakuwa hana furaha.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
stress lazima ziwepo maana mwenye nacho anakuwa hana furaha.
Hahahaaa nimegoma kudanganyika.Siku hizi staili ni 'kampa kampa tena'
ijaribu pande hizi uone stress zitakavyo kuondoka
Hahahaaa nimegoma kudanganyika.
Nimeamua kuchagua kutokudanganyika, na katika hili sidanyanyikiuwongo na ukweli siku hizi ni kama tui na maziwa..
uaweza uona ukweli ukasema huu ndo uongo and vice versa ...kazi ni kwako
nani huyo kakupangia?Ila maishani inabidi tukubaliane na hali ...wat if ndio nliopangiwa ?
yeess and its a human natureSimple rafiki wa adui yako ni adui yako pia...
UBARIKIWE......Hata kama ni karne imepita,
Mtu ambaye nimewahi kumwita SHEMEJI siwezi kumwita Darling or Sweetheart.
NEVER.
Anataka kunikopa hibihiviii, nimegoma.Huyu the boss sio mtu mzuri kabisaaaa
hahahhahahahahahhaAnataka kunikopa hibihiviii, nimegoma.