Mahusiano, mapenzi, urafiki

Nakuunga Mkono 100% ndugu yangu....

Nomba kuongezea kwamba sex inaweza kuwa silaha ya kumnyanyasa mtu - wanaume huweza kuitumia namna hii kuonyesha ubabe.Ndio maana wapo wenye kuwabaka wake zao hasa baada yaugomvi.

Wanawake nao huweza kunyima kama silaha ya kuonyesha kutokuridhika.

Sex inaweza kuwa ishara ya upatanishi vilevile na mila na tamaduni nyingi huwa na imani au kawaida hii.

Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto mpya za magonjwa hatari kama UKIMWI nadhani hatuwezi kulichukulia juu juu jambo la sex na kulazimshana.Ni wakati muafaka tuweze kuongea kwa uwazi bila kuogopa na kuweka bayana kwanini siyo business as usual tena.Wanandoa wengi ndio wenye maambukizi ya VVU kufuatana na takwimu ( Rejea TMHS 2009).Hii inaonyesha jinsi gani hii dhana ya kutokunyimana kwenye ndoa huhatarisha maisha ya wana ndoa... Hili Mchungaji Masanilo nitaomba ulizungumzie zaidi kuliko kushawishi watu waendelee tu hata pale ambapo ni wazi kabisa kuwa kuna hatari.
aah WOS... Heppi nyu yia dear!! Nice to see you, sijakuona jamvini kitambo sasa

they say sex can be used anyhow... kumbuka hata kutumia sex kupata kitu, kutumia sex kumuonyesha mtu kwamba si mali kitu, kutumia sex kuonyesha tu kwamba "yes i can"

I love this thread masa...
 
Nakuunga Mkono 100% ndugu yangu....

Nomba kuongezea kwamba sex inaweza kuwa silaha ya kumnyanyasa mtu - wanaume huweza kuitumia namna hii kuonyesha ubabe.Ndio maana wapo wenye kuwabaka wake zao hasa baada yaugomvi.

Wanawake nao huweza kunyima kama silaha ya kuonyesha kutokuridhika.

Sex inaweza kuwa ishara ya upatanishi vilevile na mila na tamaduni nyingi huwa na imani au kawaida hii.

Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto mpya za magonjwa hatari kama UKIMWI nadhani hatuwezi kulichukulia juu juu jambo la sex na kulazimshana.Ni wakati muafaka tuweze kuongea kwa uwazi bila kuogopa na kuweka bayana kwanini siyo business as usual tena.Wanandoa wengi ndio wenye maambukizi ya VVU kufuatana na takwimu ( Rejea TMHS 2009).Hii inaonyesha jinsi gani hii dhana ya kutokunyimana kwenye ndoa huhatarisha maisha ya wana ndoa... Hili Mchungaji Masanilo nitaomba ulizungumzie zaidi kuliko kushawishi watu waendelee tu hata pale ambapo ni wazi kabisa kuwa kuna hatari.

Heri ya mwaka Mpya!

Tendo la ndoa nadhani ni hiyari ya pande zote na ni suala muhimu kwenye mahusiano. Natatizwa pale kunapokuwa na makosa madogo basi ninyimwe unyumba. Mfano nimeenda safari ya kikazi, wakati naondoka umenisisitizia nikuletee perfume Versace Woman bahati mbaya nikasahau. Nimerudi unaulizia mpenzi umekumbuka ile kitu niliyokuomba? Nakujibu nilijisahau ila nimekununulia hii lotion Kariakoo. Unanuna na chumba unahama kama mwezi hivi kuonyesha sababu ya mimi kutojali ombi lako. Ama siku nikikuletea basi unarudisha hali ya mapenzi unakuwa tayari kwa chochote kile (Nisome kwa herufi kubwa hapo)
 
Hapo kunakua na kiburi!Kama kusahau kitu ambacho mtu akikosa hawezi kufa kinamhamisha mpaka chumba hamna kitu hapo!Hata kutalakisha unaruhusiwa...kwasababu siku ukikosa uwezo wakununua hivyo vitu achilia mbali kusahau ndo atahama na nyumba kabisa!
 
Hapo kunakua na kiburi!Kama kusahau kitu ambacho mtu akikosa hawezi kufa kinamhamisha mpaka chumba hamna kitu hapo!Hata kutalakisha unaruhusiwa...kwasababu siku ukikosa uwezo wakununua hivyo vitu achilia mbali kusahau ndo atahama na nyumba kabisa!

Mwenzako ukimkera kidogo tu! Sahau kwa muda kujamiiana hadi hasira ziishe....anajua bila yeye wewe njaa kila siku
 
Mwenzako ukimkera kidogo tu! Sahau kwa muda kujamiiana hadi hasira ziishe....anajua bila yeye wewe njaa kila siku

Hapo sasa ndio muwe mnapima watu kabla yakuweka ndani alafu unakuja kumuacha ndani unakimbilia nje!
 
Heri ya mwaka Mpya!

Tendo la ndoa nadhani ni hiyari ya pande zote na ni suala muhimu kwenye mahusiano. Natatizwa pale kunapokuwa na makosa madogo basi ninyimwe unyumba. Mfano nimeenda safari ya kikazi, wakati naondoka umenisisitizia nikuletee perfume Versace Woman bahati mbaya nikasahau. Nimerudi unaulizia mpenzi umekumbuka ile kitu niliyokuomba? Nakujibu nilijisahau ila nimekununulia hii lotion Kariakoo. Unanuna na chumba unahama kama mwezi hivi kuonyesha sababu ya mimi kutojali ombi lako. Ama siku nikikuletea basi unarudisha hali ya mapenzi unakuwa tayari kwa chochote kile (Nisome kwa herufi kubwa hapo)

Mkuu huo ni utoto au dalili ya mambo mengine mazito yaliyojificha nyuma ya pazia. Napata shida kuamini mtu wa hivyo ingawa haya mambo ni complex sana!
 
Mkuu huo ni utoto au dalili ya mambo mengine mazito yaliyojificha nyuma ya pazia. Napata shida kuamini mtu wa hivyo ingawa haya mambo ni complex sana!

Mkuu mambo ni magumu kuliko tunavyojua! Hiyo imefanana na ukweli fulani hivi mfanyakazi wetu mmoja alinimegea yanayomsibu na mkewe. Ila kwa nje wanaonekana wako na mapenzi sana
 
Mkuu mambo ni magumu kuliko tunavyojua! Hiyo imefanana na ukweli fulani hivi mfanyakazi wetu mmoja alinimegea yanayomsibu na mkewe. Ila kwa nje wanaonekana wako na mapenzi sana

Nayachukia maisha ya namna hiyo kwa sababu wanajidanganya wenyewe. Kama mambo hayaendi kwa ndani basi yafanyie ukarabati. Ikishindikana kila mtu aanze. Kwa nini kuendekeza maisha ya usanii? Kama wanataka ku-act movies basi waungane na akina Kanumba badala ya kuwazuga watu ambao baada ya muda mambo yao yakifumuka wanaanza kuhaha kuwakimbia.

I hate hypocrisy za kimapenzi!
 
The Most Rev Masanilo ni mtafiti huru aliyebobea katika masuala ya Mahusiano, mapenzi na urafiki

Rev. nimeipenda hii naona 2011 umeanza kwa style yake.

Naamini kuwa misingi ya ndoa ikifuatwa kama ilivyoelekezwa katika vitabu vitakatifu na Mungu akapewa kipaumbele, matatizo mengi yaataepukwa.
 
Kwanza nianze kwa kuwatakia Mwaka mpya 2011 uwe wa fanaka na mafanikio. Kwangu Mwaka uliyopita ulikuwa na changamoto nyingi sana ila nashukuru Mungu kwa yote.

Leo nitapenda zungumzia silaha zitumikazo kwenye kuangamiza mahusiano katika ndoa. Urafiki wa kimapenzi hudumu zaidi na kuwa na faraja pale tendo zima takatifu la ndoa linapofanyika kwa maridhiano ya wote. Huleta matatizo iwapo mwanamke anatumia sex kama silaha, siku akichukia basi mnapeana migongo ama mzungu wa nne. Mara nyingi wadada wanaotumia njia hii husababisha wenzi wao kutafuta wagombea wenza. Tendo la ndoa ni muhimu katika kuboresha mahusiano tafiti nyingi zimeonyesha hilo, sitaki kurudia umuhimu wa sex kwenye maisha ya kila siku. Wanawake wanaotumia Ngono kama silaha mara nyingi hawadumu kwenye ndoa zao maana hujifananisha wao na kama chombo cha burudani ambayo anaweza mpatia mteja mwingine.

Ulevi kupindukia, pamoja na kuwa na madhara kiafya pombe husababisha kuyumba kwenye suala zima la ndoa. Wanaume walevi wengi wao wamekuwa hawana uwezo wa kukidhi haja za kingono kwa wenzi wao. Wanawake waliolewa na wanaume walevi wanaongoza kwenye suala zima la cheating, tafiti zinaonyesha hivyo.

Kudumisha ndoa cha muhimu ni kusikilizana na kupeana kile roho na matamanio ya mwili yanachohitaji. Sababu za kichwa kinauma, leo sijisikii ama baba anarudi amelewa kila siku na kuishia lala sebuleni ni hatari sana kwenye ndoa.

The Most Rev Masanilo ni mtafiti huru aliyebobea katika masuala ya Mahusiano, mapenzi na urafiki

Mkuu ndio maana sisi wengine tunao wawili, mgomo wa aina hiyo unakuwa adimu sana kwakuwa si rahisi nyumba zote kufanya mgomo huo kwa wakati moja

Hint: usikimbilie kufanya hayo kama uwezo wako kimwili (kitandani) na kifedha una mushkeli!
 
Mkuu mambo ni magumu kuliko tunavyojua! Hiyo imefanana na ukweli fulani hivi mfanyakazi wetu mmoja alinimegea yanayomsibu na mkewe. Ila kwa nje wanaonekana wako na mapenzi sana

Enhe! Hebu tumegee kidogo hii habari ya mfanyakazi wenu.

Hii habari ya kunyimwa nanihii ni tatizo sugu kwenye mahusiano ya ndoa.
 
Kwanza nianze kwa kuwatakia Mwaka mpya 2011 uwe wa fanaka na mafanikio. Kwangu Mwaka uliyopita ulikuwa na changamoto nyingi sana ila nashukuru Mungu kwa yote.

Leo nitapenda zungumzia silaha zitumikazo kwenye kuangamiza mahusiano katika ndoa. Urafiki wa kimapenzi hudumu zaidi na kuwa na faraja pale tendo zima takatifu la ndoa linapofanyika kwa maridhiano ya wote. Huleta matatizo iwapo mwanamke anatumia sex kama silaha, siku akichukia basi mnapeana migongo ama mzungu wa nne. Mara nyingi wadada wanaotumia njia hii husababisha wenzi wao kutafuta wagombea wenza. Tendo la ndoa ni muhimu katika kuboresha mahusiano tafiti nyingi zimeonyesha hilo, sitaki kurudia umuhimu wa sex kwenye maisha ya kila siku. Wanawake wanaotumia Ngono kama silaha mara nyingi hawadumu kwenye ndoa zao maana hujifananisha wao na kama chombo cha burudani ambayo anaweza mpatia mteja mwingine.

Ulevi kupindukia, pamoja na kuwa na madhara kiafya pombe husababisha kuyumba kwenye suala zima la ndoa. Wanaume walevi wengi wao wamekuwa hawana uwezo wa kukidhi haja za kingono kwa wenzi wao. Wanawake waliolewa na wanaume walevi wanaongoza kwenye suala zima la cheating, tafiti zinaonyesha hivyo.

Kudumisha ndoa cha muhimu ni kusikilizana na kupeana kile roho na matamanio ya mwili yanachohitaji. Sababu za kichwa kinauma, leo sijisikii ama baba anarudi amelewa kila siku na kuishia lala sebuleni ni hatari sana kwenye ndoa.

The Most Rev Masanilo ni mtafiti huru aliyebobea katika masuala ya Mahusiano, mapenzi na urafiki

Umekula nini leo Rev? Hebu niambie na mimi nikitafute na kuweka kwenye menu yangu. Unaongea points za hali ya juu. Ni kweli hili la kufanya "love making" kama silaha ndani ya ndoa ama mahusiano ya BF na GF ni kitu kibaya sana na mara nyingi mwisho wake huwa si mzuri. Na ndiyo maana kuna wengine wameshaweka makubaliano kwamba kila wanapogombana basi siku isiishe bila kufanya mapenzi kwa sababu hii hupunguza sana tension kubwa iliyokuwepo kati yao baada ya kugombana.

 
Kwanza nianze kwa kuwatakia Mwaka mpya 2011 uwe wa fanaka na mafanikio. Kwangu Mwaka uliyopita ulikuwa na changamoto nyingi sana ila nashukuru Mungu kwa yote.

Leo nitapenda zungumzia silaha zitumikazo kwenye kuangamiza mahusiano katika ndoa. Urafiki wa kimapenzi hudumu zaidi na kuwa na faraja pale tendo zima takatifu la ndoa linapofanyika kwa maridhiano ya wote. Huleta matatizo iwapo mwanamke anatumia sex kama silaha, siku akichukia basi mnapeana migongo ama mzungu wa nne. Mara nyingi wadada wanaotumia njia hii husababisha wenzi wao kutafuta wagombea wenza. Tendo la ndoa ni muhimu katika kuboresha mahusiano tafiti nyingi zimeonyesha hilo, sitaki kurudia umuhimu wa sex kwenye maisha ya kila siku. Wanawake wanaotumia Ngono kama silaha mara nyingi hawadumu kwenye ndoa zao maana hujifananisha wao na kama chombo cha burudani ambayo anaweza mpatia mteja mwingine.

Ulevi kupindukia, pamoja na kuwa na madhara kiafya pombe husababisha kuyumba kwenye suala zima la ndoa. Wanaume walevi wengi wao wamekuwa hawana uwezo wa kukidhi haja za kingono kwa wenzi wao. Wanawake waliolewa na wanaume walevi wanaongoza kwenye suala zima la cheating, tafiti zinaonyesha hivyo.

Kudumisha ndoa cha muhimu ni kusikilizana na kupeana kile roho na matamanio ya mwili yanachohitaji. Sababu za kichwa kinauma, leo sijisikii ama baba anarudi amelewa kila siku na kuishia lala sebuleni ni hatari sana kwenye ndoa.

The Most Rev Masanilo ni mtafiti huru aliyebobea katika masuala ya Mahusiano, mapenzi na urafiki


Baba Mchun gaji wewe kama uko full alcoholic vipi bibie halalamiki?
 
In some instances, kutokubali tendo kunatokana na kutokuwa na hamu na mwenzako baada ya kuwa amekuumiza. Humkomoi, you just don't feel like being together... Walizungumziaje hilo Rev?
 
Enhe! Hebu tumegee kidogo hii habari ya mfanyakazi wenu.

Hii habari ya kunyimwa nanihii ni tatizo sugu kwenye mahusiano ya ndoa.

Wee acha tu ndo maisha yalivyo ukiona watu wachekeana huko nje huenda ndani wanawashiana moto.
 
Umekula nini leo Rev? Hebu niambie na mimi nikitafute na kuweka kwenye menu yangu. Unaongea points za hali ya juu. Ni kweli hili la kufanya "love making" kama silaha ndani ya ndoa ama mahusiano ya BF na GF ni kitu kibaya sana na mara nyingi mwisho wake huwa si mzuri. Na ndiyo maana kuna wengine wameshaweka makubaliano kwamba kila wanapogombana basi siku isiishe bila kufanya mapenzi kwa sababu hii hupunguza sana tension kubwa iliyokuwepo kati yao baada ya kugombana.


Mkuu mambo ya maisha ya ndoa ni kitendawili, wapo wanayofurahia na wanaoumiaji vile vile
 
Ni tatizo kubwa sana hili! Mwezi wa tatu hawajagusana unategemea kweli hao hakuna anayegusa nje? Kuna wadada mkikosana ama akisikia chochoko zozote mtaani basi anahama chumba, na kukwambia hali yangu kiafya si nzuri kabisa nina bleed Mwezi mzima lol?

Kwi kwi kwi....Wengine wiki tu nanga inapaa itakuwa miezi mitatu!!!

 
TEN REASONS FOR PROBLEMS IN MARRIAGE

1. Dissatisfaction, insatiation, irritation and hurt, and establishing of such negative attributes in marital relationship.

2. Improper communication, misunderstanding and allowing the accumulation, or suppression, of resentments.

3. Disrespect for the other’s individuality, disregard for the other’s values and too much possessiveness.

4. One’s hurting-egoism, selfishness over common-interest, and domination over the other’s individuality.

5. Ignorance of difference in natural attitudes and approaches between the two genders.

6. Ignorance, or not caring, of the other’s primary needs of love.

7. Incompatible, or uncompromised, differences in perceptions, preferences and approaches, and widely differing value systems.

8. Nurturing the other in his own way; serving the other in his own point of view of the other; and expecting the other in his own point of view and values.

9. The unwarranted intervention, or disregard, during the other’s natural psychological reactions, unique to the gender.

10. Lack of expected role-play; and the difference between the expectations on account of one’s personal values and the reality.
 
TEN REASONS FOR CONFLICTS IN MARRIAGE

1. Attack on identity.

2. Lack of satisfaction, or satiation.

3. Misunderstanding and communication gap.

4. Vicious Circle: - Disagreement, or misunderstanding, leads to feeling attacked and finally this leads to counter-attack.

5. Lack of understanding and support during one’s emotions: rubbing the spouse with negative attitude during the mood.

6. Non-performance of duties and non-fulfillment of responsibilities: instead of accepting mistake defending the mistake.

7. Different perceptions on priorities and lack of handling the issue jointly.

8. Lack of uncritical humour, fun and frolic in their privacy.

9. Arguments: - Arguments usually occur on account of (1) vague statements; (2) Request in a negative way; (3) not listening or not trying to understand; (4) giving importance to ego than mutuality, or common interest.

10. Adhering to instigating attitudes.
 
Back
Top Bottom