figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,530
- 62,001
kweli siasa ndo kila kitu.leo kutokana na mtafaruku wa cdm na ffu imesababisha mmu kudorola.asikuambie mtu.hii kitu hasimami bila aman.
Mbona unaongea mwenyewe kama mwehu? Unachoongea hapa hakieleweki. Au nabii unaongea kwa mafumbo?kweli siasa ndo kila kitu.leo kutokana na mtafaruku wa cdm na ffu imesababisha mmu kudorola.asikuambie mtu.hii kitu hasimami bila aman.