Mahujaji Waislamu kuvalishwa bangili za kielektroniki

Aisee kupitia wewe umeniganya nibadirike kabisa ile dhana kuwa uislamu nidini yafujo imeanza kuyeyuka taratibu, na je hao wanaowachukua watoto nakuwapeleka porini kisha kuwapa mafunzo yaugaidi hapa nchini nawengine wameenda mbali zaidi wanatoa mafunzo ya karate misikitini hao unawazungumziaje ustaadh Juma?
 
Aisee kupitia wewe umeniganya nibadirike kabisa ile dhana kuwa uislamu nidini yafujo imeanza kuyeyuka taratibu, na je hao wanaowachukua watoto nakuwapeleka porini kisha kuwapa mafunzo yaugaidi hapa nchini nawengine wameenda mbali zaidi wanatoa mafunzo ya karate misikitini hao unawazungumziaje ustaadh Juma?
mazoezi hayakatazwi ktk uislamu ila kuratibu vikundi vya kigaidi ni jambo linalopingwa na wanazuoni wakiislamu!! mfano kitendo cha boko haram kuteka mabinti kuwasilimisha kwa lazima kisha kuwalazimisha kuvaa niqabu (ninja) then kuwaoa hiki ni kitendo kilichopo kinyume na mafundisho ya uislamu!!
ili ndoa yakiislamu ifanyike ni lzm muolewaji aridhie na ni lzm asimamiwe na walii wake (baba mzazi,baba mdgo,kaka) sasa hapo kuna ndoa kweli? wengi ktk makundi ya kigaidi hata dini hawaifaham wao wanashawishiwa na kuingia kichwa kichwa tu!! mtu ambae hana elimu ya dini ni rahisi sana kushawishika kujiunga na vikundi vya kigaidi akidhani kuwa hiyo ndo dini sahihi na wengi hudhani kuwa watapata pepo kwa kufanya ugaidi
 
Back
Top Bottom