Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Yaani wewe! Lazima usutwe kabla mwaka haujaisha.
Kuwa na nidhamu kwa wakubwa wewe mtoto wa kike
Yaani wewe! Lazima usutwe kabla mwaka haujaisha.
Kuwa na nidhamu kwa wakubwa wewe mtoto wa kike
Shem wangu mbona yupo sana! Mtakuwa mnapishana nae thread!
Irudishe kabla sijaandamana
Kuwa na nidhamu kwa wakubwa wewe mtoto wa kike
Nyani Ngabu na Bishanga mkihitaji mpatanishi ntajitolea bure!
Chimbuvu ni hatari sn kwa chitchat, mimba ya wiki tu imemfanya Madame B ashindwe kuripotiTangu ampate Chimbuvu, mahudhurio ya huyu mdada Madame B yamepungua sana humu jf kwa zaidi ya asilimia 50. Nina wasiwasi na huyu jamaa kwamba pamoja na ukongoman wake atakuwa na asili ya uarabu ya kutowaruhusu wanawake kujichanganya. Au labda ni utimilifu wa ile methali isemayo atafutaye akipata hutulia. So madame b alitafuta humu jf akampata chimbuvu sasa ametulia. Au labda ameshaanza kula udongo na kutamani vitu vyenye uchachu uchachu.