HarakatiNews
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 218
- 185
Tangu Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoriki la Bukoba Methodius Kilaini kutajwa kuwa ni miongoni mwa wanufaikaje katika sakata la Escrow hajawahi kujitokeza hadharani kuongelea lolote wala sauti yake kusikika,ikiwemo kuendesha misa takatifu.
Tazama mahubiri yake katika video,picha na yaliyojiri kwa ujumla hapa chini
Chanzo:HARAKATINEWS
Tazama mahubiri yake katika video,picha na yaliyojiri kwa ujumla hapa chini
Chanzo:HARAKATINEWS
Last edited by a moderator: