It is clear kwamba JK ametupa uwanja mpana sana wa uhuru, wakati mwingine ukijadili jambo lazima uweke mambo mengine constant au uweke scope, otherwise kila jambo liko linked na kitu kingine...
Zitto nakuelewa unavyosema JK ana political tolerance ya hali ya juu sana, na kama asingekuwa nayo mwaka wa BOT/EPA, RICHMOND etc... Taifa lingewaka motto.
ulitaka kugombea nafasi ya m/kiti chadema, je zilikuwa mbio za kuelekea ikulu 2010?
haya ndio mawazo ya watu ambayo nadhani wanakosea kabisa. Kwanza sio lazima mwenyekiti wa chama awe mgombea urais. Pili, sina umri wa kugombea urais mwaka 2010 wala mwaka 2015.
Kasheshe,
kwa mifano ya hayo mawili uliyotoa, je kuwa hivyo ni jambo jema au baya kwa Taifa letu?!
Ma hardcore tunaweza kusema Zitto hakuwa steadfast enough kuwakandamiza mafisadi na CCM.
SteveD,
To make decision is a must for a leader, i can't deny this! However when to make decision is that CRITICAL.
Kiongozi mzuri hawezi kufanya decision wakati ambapo mioyo ya wananchi wako ndio inafanya kazi na sio vichwa/brain zao!!!
Wakati ule kwa kiasi kikubwa tuliokuwa tukiongozwa na mioyo... sasa hivi waweza weka decision ya BOT/EPA na RICHMOND kwa haki kabisa... maana brain zinafanya kazi na sio mioyo...
Kiongozi mwenye subira ni wa muhimu sana kwani akiwa anataka kuendana exactly na mioyo ya watu... tunaweza kushitukia taifa lilishagawanyika muda mfupi, by the time ana-realize alikosea taifa halipo la kuongoza.
That is what known as maturity na Zitto analijua hili na sio tu analijua bali ni weakness yake kubwa, kuzungumzia mamba mazito wakati usio... na Mh. Sitta anatakiwa kusoma plus za JK kwa karibu sana kama anataka kuwa kiongozi mzuri mbeleni, yeye pia ana-udhaifu kwenye hili.
Wenzake JK na Chief Justice... wako fresh sana kwenye utulivu na tolerance... aidha wangekuwa na kama yeye... Du! Taifa pia lingewaka motto
Nashukuru kwa maelezo.
Twajua kwamba "justice delayed is justice denied." Kwa maoni yako, je hili swala linahusiana na justice au kuoneshana namna ya kuongoza na styles zake?!
Pia niliazimia kuhakikisha kuwa uchumi wa nchi unasaidia kuongeza ubora wa maisha ya wananchi. Kazi ambayo nimeifanya kwa ufanisi sana. Nimekuwa mbunge kwa miaka 4 tu lakini kazi niliyofanya ni kana kwamba nimekuwa mbunge kwa miaka 10 au zaidi. Kazi yangu imefahamika kwa wananchi kuliko wabunge wengi ambao wamekuwa bungeni kabla yangu.
Nimeifanya ajenda ya madini iwe ya kitaifa na hata kupelekea Rais kuunda kamati ambayo imetoa taarifa nzuri sana na sasa sheria mpya ya madini imetungwa na kusubiri kupitishwa Bungeni. Niliandika mabadaliiko ya sheria ili mahesabu ya vyama vya siasa yakaguliwe na CAG na sheria tayari imepita. Hii itadhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma katika vyama vya siasa.
Toka mwaka 2006 Bunge limepitisha bajeti ya ruzuku kwa vyama ya zaidi ya shilingi 67 bilioni lakini fedha zote hizi zilikuwa hazikaguliwi na CAG. Kuanzia mwaka huu wa fedha zitakaguliwa. Hii ni kazi ya kujivunia sana na siamini kama kna mtu atanichukia kwa kazi hii.
Majungu haya kha!!Mhe.Zitto, ina maana wewe ndio una machungu na CHADEMA kuliko walioko huko ?
Ina maana wengine hawana uchungu na ndioo maana kazi yao ni kuitafuna ruzuku ya chama , wakati wewe tuu ndio huitafuni?
.... Hao wanaoeneza kuwa mimi nitahamia ccm kwanza walikuwa ccm kabla, na pili wataenda ccm wataniacha mimi chadema. Chadema kwangu mimi ni zaidi ya chama, ni movement! Ni vuguvugu la harakati za kuhakikisha kuwa watanzania wanakuwa na demokrasia pana zaidi bila kuathiri uzalendo wa taifa letu. Kijiji kwangu watu waliteswa kuijenga chadema, watu walifungwa, vijana wenzangu walilala juu ya paa za nyumba ili kuijenga chadema na toka hapo kijiji changu ch mwandiga hakijawahi kuwa na kiongozi wa ccm, toka mwaka 1994. Hao wanaosema mimi ntaenda ccm wajiulize wana historia gani na chadema? wana machungu gani na chadema?
majungu haya kha!!
Kiongozi makini kwa Tanzania ni yule anayefahamu "Africa does not need strong men, Africa needs strong institutions!" Obama
Mkuu Zitto, mawazo mazuri sana ila nimeshangaa kwamba kiongozi kijana anayeibukia kuwa kiongozi wa zama hizi zetu Barack Hussein Obama, aliye mfano wa "Change" mabadiliko tunayoyahitaji hata haukumtaja kama mtu anayekuvutia! Are you serious about change in Tanzania au you are for the status quo! Chadema badala ya CCM lakini mambo ni yale yale? Kiongozi makini kwa Tanzania ni yule anayefahamu "Africa does not need stong men, Africa needs strong institutions!" Obama
kasema yeye sio mimi sasa majungu yanatoka wapi tena?
Nami pia nakubaliana na wewe BLURAY; Zitto has been kind of soft on these FISADIS; may be conscious yake haimruhusu kuwasuta sana hawa jamaa!! Could it be because of his DOWANS involvement?
Kila mtu anamtaja Obama. He is simply a phenomenal. Hata Nyerere sikumtaja. Hata Castro sikumtaja. Hata Mandela sikumtaja....... the list is big