Dakika 56 za Mahojiano maalum ya KTN News Kenya, Godbless Lema na Mchg. Peter Msigwa
Maswali na majibu ya mwendesha kipindi KTN Bw. Paul Nabiswa na pia wananchi kupiga simu kutoka sehemu mbalimbali za Kenya kuwauliza maswali wabunge machachari wa CHADEMA kuhusu siasa za Tanzania.
Hii ni Video ya Mahojiano Kati ya KTN na Mbunge Godbless Lema na Mbunge Peter Msigwa wakizungumzia hasa Swala la Jaribio la Kumuua Mbunge Tundu Lisu kwa Risasi.
Pia demokrasia katika nchi za Afrika pamoja na umuhimu wa uhuru wa mihimili mitatu ya dola yaani Serikali, Mahakama na Bunge. Mahusiano ya demokrasia huru na ukuzi wa kiuchumi. Siasa za ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla .....
Source: KTN Kenya news / Thobias Marandu
Maswali na majibu ya mwendesha kipindi KTN Bw. Paul Nabiswa na pia wananchi kupiga simu kutoka sehemu mbalimbali za Kenya kuwauliza maswali wabunge machachari wa CHADEMA kuhusu siasa za Tanzania.
Hii ni Video ya Mahojiano Kati ya KTN na Mbunge Godbless Lema na Mbunge Peter Msigwa wakizungumzia hasa Swala la Jaribio la Kumuua Mbunge Tundu Lisu kwa Risasi.
Pia demokrasia katika nchi za Afrika pamoja na umuhimu wa uhuru wa mihimili mitatu ya dola yaani Serikali, Mahakama na Bunge. Mahusiano ya demokrasia huru na ukuzi wa kiuchumi. Siasa za ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla .....
Source: KTN Kenya news / Thobias Marandu