Vishungi 36 vinaunda sigara 6 b'coz kwa kila vishungi 6 anafanya ujanja anaoujua yeye,anapata sigara moja(1) kamili.Akisha 'smoke' zile sigara sita(6),atabaki na vipande/vishungi sita(6).Atavitumia pia hivi vishungi sita(6) kuunda sigara ya 7.Kwa hiyo jumla ya sigara atakazovuta ni 7.