Mahariiii

Mahariiii

nkungwe123

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2014
Posts
444
Reaction score
95
Hbr ya usiku wana MMU wenzangu!!!!
Mimi sijambo na hofu yangu ni kwenu mlio mbali nami.
Nina hoja moja tuu kwenu Leo hii, nayo ni kuwa

M A H A R I ina umuhimu gani ktk ndoa??? Je, inaweza leta madhara yoyote ktk ndoa??? Faida zake ni nini hasa???
Nipe kisa chochote ulichowahi sikia au kukiona kisicho cha kawaida kinachohusu mahari.

Naomba kuwasilisha!!!
 
OK. Mji wenu huo unaitwaje? Teh teh teh....
 
Hakuna lolote mahari ni kama kumuuza tu binti yako nadhan huu ni utaratib outdated

Kwa uchunguzi wangu, wanaopigania haki sawa wanalisahau hili. Hili ni chanzo kikuu cha manyanyaso, mateso na kudharirishwa kwa mwanamke. Na wao cjui wanalipokeaje!"""!
 
hata sioni umuhimu zaidi ya kuongeza mzigo wa gharama kwa muoaji.
 
Winnie2384.jpg
Winnie2380.jpg
 
Hbr ya usiku wana MMU wenzangu!!!!
Mimi sijambo na hofu yangu ni kwenu mlio mbali nami.
Nina hoja moja tuu kwenu Leo hii, nayo ni kuwa

M A H A R I ina umuhimu gani ktk ndoa??? Je, inaweza leta madhara yoyote ktk ndoa??? Faida zake ni nini hasa???
Nipe kisa chochote ulichowahi sikia au kukiona kisicho cha kawaida kinachohusu mahari.

Naomba kuwasilisha!!!

Mbona marks za kila swali hujaandika ?na multiple choice questions
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom