Mahari Zetu Wakurya

Mahari Zetu Wakurya

Huyo mama sime la kukatia kuni au.......


kujilinda na mumewe mkorofi
si wajua hawa jamaa kwa mangumi ndo
wenyewe? ila sijaelewa bunduki ya nini?
kisha umenicha hoooi mbegu za bange na gongo!!!!!!!!!
hapo umeua bendi wangu:caked:
 
mnaona siiiiiiiiiiiiifa kusifiwa kwa masilaha yenu hayo.......hubirini amani na kuishi upendo!!!
 
Wanaojibu kilugha chao wanatuharibia hali ya hewa coz hatuelewi wanamaanisha nini???????????
 
Wanaojibu kilugha chao wanatuharibia hali ya hewa coz hatuelewi wanamaanisha nini???????????

pole sana , kifupi wanasema haya mambo hayapo ... pia mengi hayajawahi kuwapo. ni story tu kama unayoweza kutoa kwa abiria wakati basi lenu limekwama kabisa kwenye tope
 
Back
Top Bottom