Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Kwani ndoa ni biashara? Mwisho utaomba na sadaka zilipiwe VAT
Kwani unadhani kuna tatizo?
Kama lipo tuambie ni lipi?
Kwani ndoa ni biashara? Mwisho utaomba na sadaka zilipiwe VAT
Tobaa! mbona kipato kile ninachopata kwa kutoka kwa baba chanja hakijadaiwa kodi? tena yeye ni mtumishi wa TRA? fafanua zaidi, labda si mapato yote... mimi nilidhani yale ya biashara tu.
Aisee .....
Huyu nae hajui kama kiatu alichokivaa amekilipia kodi
Hajui kama barabara nazo zinalipiwa kodi
Nchi hii sijui ina watu wa aina gani tu!
Aisee .....
Huyu nae hajui kama kiatu alichokivaa amekilipia kodi
Hajui kama barabara nazo zinalipiwa kodi
Nchi hii sijui ina watu wa aina gani tu!
Kweli kabisa umeishia hapo?
Kama ni ng'ome 18 haziwezi kuuzwa?
Kama ni ng'ombe mmoja wahusika hawawezi kulipa fedha?
teana wasifanye 20% ... VAT ya nahari iwe 50% kwa sababu hazichelewi kuvunjika
Nashukuru kwa kumpa elimu ya bure
Hadi wapate wanunuzi? Unadhani kwa nin Majembe wana yard ya magari? Kwani wanauza magari wale?
Lazima kuwe na mahali pa kuzifikishia kwanza kabla ya kuuzwa.
Kule Simiyu, SHinyanga, Mwanza, Mara na mikoa ya jirani itabidi wajenge mazizi ya ng'ombe wafungue na mabucha ya kutunzia nyama.
Mahari ngombe 100, TRA wanapewa ng'ombe 18. Kama mahari ng'ombe mmoja, wanapewa mat.ako ya ng'ombe, raha kweli.
Moja ya sheria muhimu ya nchi ni PAYE (Pay As You Earn).
Naona nchi yetu inapoteza pesa ambazo zingetumika kununua madawati na kulipa mishahara kwa walimu.
Kuingiza pesa bila kulipa kodi huko ni kuhujum uchumi wa nchi, nadhani mnafaham adhabu ya kuhujum uchumi ipoje nchini kwetu.
Mimi kama MCHUNGUZI HURU napendekeza TRA ianzishe utaratibu ambapo kila familia itakayopokea mahari kwaajili ya harusi wakatwe asilimia 18 ya pesa hizo.
ASANTENI
MCHUNGUZI HURU
Mimi nashauri
Kuanzia kuwe na kulipia kodi ya kiatu unachovaa kiatu cha bei mbaya ulipie tax kubwa kanadambili shilingi 100 peku peku mwisho barabara ya Msimbazi
kama kumbukumbu ziko sahihi tulikuwa na kodi ya kichwa sijuwi imeishia wapi ile
Mzee Agustino Lyatonga Mrema si aliifutaga. Duuh hii kodi ilikuwa bhaalaaa!
Kule Simiyu, SHinyanga, Mwanza, Mara na mikoa ya jirani itabidi wajenge mazizi ya ng'ombe wafungue na mabucha ya kutunzia nyama.
Mahari ngombe 100, TRA wanapewa ng'ombe 18. Kama mahari ng'ombe mmoja, wanapewa mat.ako ya ng'ombe, raha kweli.